Halafu Maalim Seif akaja akaungana na CCM akisema anaponya nchi,😁😁.GreedyNinawasifu Wapemba, walipanda juu ya miti wakawa wanarekodi matukio yote waliyofanyiwa na polisi wakati wa uchaguzi 2020.
Hakuwa na choice, alitekwa na aliambiwa akubali au aombe dua la mwisho.Halafu Maalim Seif akaja akaungana na CCM akisema anaponya nchi,😁😁.Greedy
Kwahiyo akaona Maisha yake Ni ya Muhimu kuliko wale Malaki ya wapemba sio mkuu?Hakuwa na choice, alitekwa na alambiwa akubali au aombe dua la mwisho.
Nyie mnaotetea Wamachinga mnatafuta umaarufu mbuzi. Wachachinga ni kero kwa watu wooote wapenda Utulivu na Ustaaarabu unapotetea uwepo wao unatupa picha wewe ni mtu wa aina gani kichwani.Ninawasifu Wapemba, walipanda juu ya miti wakawa wanarekodi matukio yote waliyofanyiwa na polisi wakati wa uchaguzi 2020.
Tunachotetea ni mipango endelevu ya machinga kuwa na biashara sehemu zinazofikika na katika maduka yenye heshima.Nyie mnaotetea Wamachinga mnatafuta umaarufu mbuzi. Wachachinga ni kero kwa watu wooote wapenda Utulivu na Ustaaarabu unapotetea uwepo wao unatupa picha wewe ni mtu wa aina gani kichwani.
What happened?Ninawasifu Wapemba, walipanda juu ya miti wakawa wanarekodi matukio yote waliyofanyiwa na polisi wakati wa uchaguzi 2020.
Kijana mmoja eneo la Gerezani karibu na kituo cha mwendokasi cha gerezani, amekamatwa na Askari Polisi sababu alikuwa anarecord tukio la wanaobomoa vibanda vya machinga asubuhi hii.
Asubuhi hii watu takriban 20 walikuwa wanapita Gerezani huku wakiwafukuza wafanyabiashara wadogo na kubomoa maeneo mengine huku wakiwa na virungu mikononi mwao.
Inadaiwa matukio ya uvunjwaji hata waandishi wa habari wamepigwa mkwara kuripoti mubashara zoezi zima na ndiyo maana hata la Mbagala jana halijaonekana kwenye vyombo vya habari.
Alafu Covid-19 ikapita nae dah!Hakuwa na choice, alitekwa na aliambiwa akubali au aombe dua la mwisho.
TeteteteMakamanda tunapaswa kuwa na mikakati ya kuwahami wahanga wetu ili kazi iendelee.
Aliyekuwa ana rekodi kama ndiyo atakula na wa kwao kesho nani atarekodi tena?
Cc: Babati SAGAI GALGANO
Tetetete
Ok mkuuUkombozi ni serious business. Kuna watu hatuwahitaji kwenye process. Hao hata wakipumzika beach tu. Wametajwa humu:
Tutambuane, nani ni nani katika kudai Katiba mpya
Aliyekuwa akipiga picha kukuhabarisha hakuwa akichuma janga la kwenda kula na wa kwao.
HopelessAcha wachapwe,wameshindwa kutumia hiari yao kwa muda waliopewa.