Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Yeah,waienende biblia kwa vitendoWamsamehe tu saba mara sabini!!
Kanisa lilishasamehe kashtakiwa na JamhuriYeah,waienende biblia kwa vitendo
Kanisa la RC ni tajiri,linaweza pata hiyo Hela Kwa waumini wawili au watatuYeah,waienende biblia kwa vitendo
AhahhaaaaQui peccat ebrius, luat sobrius
Hahahaaa porojo hizo,kanisa lilishitaki dibagula kasema yesu siyo Mungu kwenye mhadhara Kisha likaiachia serikali kuendelea na kesi, dibagula akashinda...serikali haijaanza Leo kuwa wakili wa kanisaKanisa lilishasamehe kashtakiwa na Jamhuri
Waumini wasingelia michango imezidiKanisa la RC ni tajiri,linaweza pata hiyo Hela Kwa waumini wawili au watatu
Mahakamani wamesema Jamhuri maneno ya kanisa umeyatoa wapi?Hahahaaa porojo hizo,kanisa lilishitaki dibagula kasema yesu siyo Mungu kwenye mhadhara Kisha likaiachia serikali kuendelea na kesi, dibagula akashinda...serikali haijaanza Leo kuwa wakili wa kanisa
Watu si wanajichangia kanisa mantiki yako ni nini haswa? Tukisema una chuki tunakosea?Waumini wasingelia michango imezidi
Basi wapambane na Hali yaoWaumini wasingelia michango imezidi
He who does wrong when drunk must be punished when sober. The maxim is originated from Latin language. This maxim has wider ambit than just being drunk on alcohol.Qui peccat ebrius, luat sobrius
يسوع هو إله كامل وإنسانHahahaaa porojo hizo,kanisa lilishitaki dibagula kasema yesu siyo Mungu kwenye mhadhara Kisha likaiachia serikali kuendelea na kesi, dibagula akashinda...serikali haijaanza Leo kuwa wakili wa kanisa
Wanasamehe aliyetubu. Alitaka atubu kwanzaWamsamehe tu saba mara sabini!!
Dem wangu wa kihindi anaabudu ng'ombe,kwa hiyo we endelea tu na Mungu wako fundi seremala mi Sina tabuيسوع هو إله كامل وإنسان
yasue hu 'iilah kamil wa'iinsan
Yesu ni Mungu Kamili na ni Mwanadamu Kamili!
[emoji123][emoji106]
Lazima Serikali isimame katika roho na kweliHahahaaa porojo hizo,kanisa lilishitaki dibagula kasema yesu siyo Mungu kwenye mhadhara Kisha likaiachia serikali kuendelea na kesi, dibagula akashinda...serikali haijaanza Leo kuwa wakili wa kanisa
Mdai ni nani! Kanisa lisihudhurie kesi.Kanisa lilishasamehe kashtakiwa na Jamhuri