Akana shitaka la Kuvunja Kanisa la Kiaskofu Geita

Akana shitaka la Kuvunja Kanisa la Kiaskofu Geita

Dem wangu wa kihindi anaabudu ng'ombe,kwa hiyo we endelea tu na Mungu wako fundi seremala mi Sina tabu
يسوع هو إله كامل وإنسان
yasue hu 'iilah kamil wa'iinsan
Yesu ni Mungu Kamili na ni Mwanadamu Kamili!
[emoji123][emoji106]

HABARI YA MJINI NDIO HIYO![emoji123][emoji106]
Hutaki kunywa sumu ya panya au tukukute chooni umejinyonga na kanga ya mkeo!
Mkamua ngama apate tenda ya kukupiga kata.3 vutu!
Wengine tuambulié uji na maharage...
 
He who does wrong when drunk must be punished when sober. The maxim is originated from Latin language. This maxim has wider ambit than just being drunk on alcohol.

nimependa quote yako anyway! I have been vry much impressed kuwa watu wanasoma
Asante kwa kututafsiria hiyo lugha. Shukran.
 
kwan mtu akivunja kanisa anahukumiwa na Mungu au mahakama?
Wote wawili. Rejea " Amin, nawaambia, lolote mtakalolifunga duniani litakuwa limefungwa mbinguni, na lolote mtakalolifungua duniani litakuwa limefunguliwa mbinguni. (Mathayo. 18:18)
 
Hapo hawajasamehe ,kama aliyeshitaki akisema hana nia ya kuendelea na shauri maana yake jamhuri hawana uwezo wa kuendelea
Umefatilia kesi mkuu ? Kuna mahali hakimu kasema mshitaki ni Kanisa au alisema mshtakiwa ni Jamhuri?
 
Back
Top Bottom