يسوع هو إله كامل وإنسانDem wangu wa kihindi anaabudu ng'ombe,kwa hiyo we endelea tu na Mungu wako fundi seremala mi Sina tabu
na Muhamad ni nan?يسوع هو إله كامل وإنسان
yasue hu 'iilah kamil wa'iinsan
Yesu ni Mungu Kamili na ni Mwanadamu Kamili!
[emoji123][emoji106]
Asante kwa kututafsiria hiyo lugha. Shukran.He who does wrong when drunk must be punished when sober. The maxim is originated from Latin language. This maxim has wider ambit than just being drunk on alcohol.
nimependa quote yako anyway! I have been vry much impressed kuwa watu wanasoma
Wote wawili. Rejea " Amin, nawaambia, lolote mtakalolifunga duniani litakuwa limefungwa mbinguni, na lolote mtakalolifungua duniani litakuwa limefunguliwa mbinguni. (Mathayo. 18:18)kwan mtu akivunja kanisa anahukumiwa na Mungu au mahakama?
Hapo hawajasamehe ,kama aliyeshitaki akisema hana nia ya kuendelea na shauri maana yake jamhuri hawana uwezo wa kuendeleaKanisa lilishasamehe kashtakiwa na Jamhuri
Kanisa ndiye shahidi Na. 1 kwa upande wa Jamhuri. Lazima ahudhurie kesi.Mdai ni nani! Kanisa lisihudhurie kesi.
Hayo ni maoni yako.Kanisa ndiye shahidi Na. 1 kwa upande wa Jamhuri. Lazima ahudhurie kesi.
Hii ni kesi ya Jinai sio Madai.
Ndiyo.Hayo ni maoni yako.
Ila mimi nisipohudhuria sifungwi.Ndiyo.
شيطان كامل في شكل بشريna Muhamad ni nan?
Shida kanisa limekaa pembeni sasa Sheria za MahakamaYeah,waienende biblia kwa vitendo
Umefatilia kesi mkuu ? Kuna mahali hakimu kasema mshitaki ni Kanisa au alisema mshtakiwa ni Jamhuri?Hapo hawajasamehe ,kama aliyeshitaki akisema hana nia ya kuendelea na shauri maana yake jamhuri hawana uwezo wa kuendelea
Ishu sio hela mzee,ishu hapo ni kufuru aliyoifanya hiyo ndio mbaya zaidi.Kanisa la RC ni tajiri,linaweza pata hiyo Hela Kwa waumini wawili au watatu
Ukikosea ukakiri kosa jamuhuri ikakutia hatiani haikusamehi hata mara moja ni nyundo tu inaliaWamsamehe tu saba mara sabini!!
Tafsiri kidogo ndg avogadro!!!Qui peccat ebrius, luat sobrius
Wakatoliki nawaaminia sana, huwa hawakomai na haya mambo.Kanisa lilishasamehe kashtakiwa na Jamhuri