Akaniambia nisubiri jibu, sasa wiki imekwishaa

Chachasteven

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2014
Posts
1,941
Reaction score
2,044
Jamani wana JF,

Mimi nilimtokea mtoto mmoja mkali kinyama na kiukweli ata yeye huaga ananikubali kidizaini flani hivi amazing. Ila tangu nimemtokea sasa wiki imepita sijapata jibu nikimwambia ananiambia niendelee kusubiri. Huku mimi nikizidisha kumpiga mistari cha ajabu marafiki zake wananiita shemeji.

Naombeni msaada wakuu hivi nimfanyaje ili nipate mapema mzigo.

Au anaposema subiri nitakupa jibu ndo ameshakubali?
 
Subiria kwanza Nina kazi naye muhimu nafanya nae ikishiisha mwaka 2020 atakujibu .

Vuta subira

Kunywa maji mwanangu
 
Hebu nipe namba zake nimwulize kwanini hakupi jibu
 
Ujuwe anajiuliza akupange namba ngapi....unaweza kupangwa namba 101....mana kuna wenzako ka MIA
 
Mkalibishe getto akija kazi imeisha neno nimekubali uwa ni gumu kwao usipotumia tekniki nyingine unakosa
 
Huyo sio tena wa kumuuliza jibu lako,ila ni wa kumuomba nafasi ya kutoka nae kama ni home au sehemu za faragha umalize kazi yako. (jiepushe kumuuliza kuhusu jibu lako,utapigwa kalenda mpaka Yesu anakuja na hutopata)
 
Mkuu majibu ya HIV ungeyaharakisha ivyo!!![emoji32] [emoji32] [emoji32]
 
Una ela au kumsumbua mtoto wa watu na mimeseji na anajitaidi kukujibu tena kwa crdt yake kuwa "usubiri" na labda mwanaume unaongeeeeea adi mate yanakauka eti unatoa mistari hahahah
 
Una ela au kumsumbua mtoto wa watu na mimeseji na anajitaidi kukujibu tena kwa crdt yake kuwa "usubiri" na labda mwanaume unaongeeeeea adi mate yanakauka eti unatoa mistari hahahah
Sasaa unataka nimpe pesa za vochaa[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Mkuu majibu ya HIV ungeyaharakisha ivyo!!![emoji32] [emoji32] [emoji32]
Naharakisha saabu demu ni mzuri offcourse class kwetu.
wakishamuingilia wengne ntakosa pakuanzia.
 
This shit is easy.

Muombe date, akikubali ndiyo hiyo hiyo iwe siku ya tukio. Ila usifosi kama ataonesha kua hataki mpige show.
Akionesha kua hataki mpige show, omba blow job.

Ukikosa hivyo vyote, niconsult kwa ushauri zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…