Akaniambia nisubiri jibu, sasa wiki imekwishaa

Akaniambia nisubiri jibu, sasa wiki imekwishaa

This shit is easy.

Muombe date, akikubali ndiyo hiyo hiyo iwe siku ya tukio. Ila usifosi kama ataonesha kua hataki mpige show.
Akionesha kua hataki mpige show, omba blow job.

Ukikosa hivyo vyote, niconsult kwa ushauri zaidi.
Mpige show ombablow ndo unamaanishaa nni?
Maana naona ww unaeza nipa majibuu
 
Skuizi hatusubiri majibu mzee, tunamualika tu mahali. Akija unaongea kwa vitendo, sio maneno
 
Jiangalie. UE zimeanza tangu wiki iliopita!
 
This shit is easy.

Muombe date, akikubali ndiyo hiyo hiyo iwe siku ya tukio. Ila usifosi kama ataonesha kua hataki mpige show.
Akionesha kua hataki mpige show, omba blow job.

Ukikosa hivyo vyote, niconsult kwa ushauri zaidi.

Wanaume katika ubora wenu si kwa mbinu hizo aisee lazima mtu aliwe kichwa
 
Jamani wana Jf mimi nilimtokea mtoto mmoja mkali kinyama.
Na kiukweli ata yeye uaga ananikubali kidizaini flani hivi amazing.
Ila tangu nimemtokea sasa wiki imepita.
Sijapata jibu nkimwambia ananiambia niendelee kusubirii.
Huku mimi nkizidisha kumpigaa mistari.
Chaajabu marafiki zake wananiita shemeji.
Naombeni msaada wakuu hivi nimfanyaje ili nipate mapemaa mzigo.
Au anaposema subr ntakupa jibuu ndo ameshakubali.?????
Ujue anakutafutia nafasi maana mpo wengi sana vuta subira mkuu zamu yako yaja
 
Hakuna kitu naonaga ushamba kama kutongoza afu unaomba majibu
 
Nipe teknick basi dadaangu
mwanamke akikuambia atakupa jibu ujue kakuweka kwenye.matazamio yani hapo umekubaliwa kwa 60% hizo 40% zifaitie sasa ujiongeze na usiombe jibu yani usiseme "jibu langu vipi" hapo unakua unaharibu
 
mwanamke akikuambia atakupa jibu ujue kakuweka kwenye.matazamio yani hapo umekubaliwa kwa 60% hizo 40% zifaitie sasa ujiongeze na usiombe jibu yani usiseme "jibu langu vipi" hapo unakua unaharibu
Sasa nafaiti vp hapo?
 
Back
Top Bottom