Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,545
- 10,283
Ana nia na wewe sema kuna vitu anakua yupo fifty fifty, anakereka, anajaribu kuiforce nafsi ikubali ndo.maana ukimuita anakuja....Sasa Evelyn Salt hebu nipe tekniki kidogo. Umemtokea mrembo,ukampiga neno.Hakuambii kama kakubali au kakataa. Out ukimpa mwaliko anakuja. Ila ukimwambia aingie getto, anazingua. Ukimwambia mkutane hoteli anakuja mnakula na mnakunywa. Ukimkaribisha chumbani hotelini, hataki. Mwanamke kama huyu unamuelewaje? Si bora uombe jibu ujue moja, amekubali au amekataa?
Wewe dada, nimekupigia salute.Ana nia na wewe sema kuna vitu anakua yupo fifty fifty, anakereka, anajaribu kuiforce nafsi ikubali ndo.maana ukimuita anakuja....
huenda story.unazopiga anaboreka, muonekano, mavazi, harufu ya jasho n.k
kama.hayupo.kundi hilo basi.ni.wale wachunaji.mashuhuri, huyo wako ni yupi kati ya hizo?
vihela unampa.lakini?Wewe dada, nimekupigia salute.
Kwa iyo nifanyaje sasa ili nimpate? Au nisubiri adi siku akiamua mwenyewe? Maana dada angu Evelyn Salt kwa huyo mrembo cna neno jipya la kumueleza ili ashawishike
Shilingi mbili tatu huwa hakosi. Na matumizi madogo madogo pia nampatia.vihela unampa.lakini?
Get serious for sometimes uujue.msimamo wake ukimchekea sana utachunwa miaka, mia ila pia fanya ufanyavyo.ugundue.kipi kinamfanya awe vuguvugu na sio.moto wala baridi
kaja mara tano afu hujamtmba? umekosea sana.Shilingi mbili tatu huwa hakosi. Na matumizi madogo madogo pia nampatia.
Amewahi kuja nyumbani kwangu mara tano. Lakini mara zote anaishia sebuleni. Chumbani hataki kabisa kuingia. Siku moja nikajaribu kutumia nguvu kumvutia chumbani, tukavutana sana, mwishowe nikaamua kuacha. Maana niliona kitakachofuata ni kumbaka tu. Cha kushangaza zaidi, siku moja nilikuwa nilikuwa nae ktk harusi fulani na ktk meza yetu tulikuwa wawili tu, sasa akauchukua mkono wangu akaupeleka kiunoni kwake, na kunigusisha cheni, kisha kuniambia. Nashukuru sana, ile hela uliyonipa nimenunulia hiyo cheni. Asee, nilichanganyikiwa sana.
Ndugu yangu Evelyn Salt nashindwa kumsoma huyu kwa nini ni vuguvugu? Na nikiamua kuacha, si nitaonekana kuwa nimesusa? Na mwanaume kususa ni kichekesho
Yaani akija home, anakua ni mwenye furaha sana na anaongea vizuri. Tatizo ni pale ninapomsogelea na kutaka kuushika mwili wake. Anakua mkali na anakasirika sana. Na hata usoni ukimtazama, unaona kabisa kuwa kachukia kutoka moyoni.kaja mara tano afu hujamtmba? umekosea sana.
sasa ulitaka aje chumbani.atandike.kitanda au? si.ungemaliza hapo.hapo.sebleni?
mwambie akukome akitaka kula lazma aliweYaani akija home, anakua ni mwenye furaha sana na anaongea vizuri. Tatizo ni pale ninapomsogelea na kutaka kuushika mwili wake. Anakua mkali na anakasirika sana. Na hata usoni ukimtazama, unaona kabisa kuwa kachukia kutoka moyoni.
Muda fulani huwa najiuliza, labda hana kitobo?
Asante sana. Ubarikiwe sanamwambie akukome akitaka kula lazma aliwe
Amina, pole sana kwa usumbufu aliokusababishiaAsante sana. Ubarikiwe sana
anaijua hata hiyo UE maana inaweza kuwa msamiati kwake!!!!Jiangalie. UE zimeanza tangu wiki iliopita!