Mumukome mumuwache
Sabakheri la"aziz waonaje hali yako,Salam sana wana cc wote,
Nimekumbuka wimbo wa ...pepe kale... R.I.P
unaoitwa ...Hidaya...... kuna mahali alisema...
Nimepoteza mupenzi wangu kule Tanzania .......
Nimepoteza mkanda wa kiuno.......
Hapa namtafuta Bishanga ..... sina maneno ya nyongeza.
Bishanga jogoo la Chit Chat kuna mtetea anakuita hapa anahitaji huduma yako, kuja kibande hii madhee!
kaka mambo vipi? nipo hapa bomang'ombe...habari za hapo arusha?
Wrong vehicle in a wrong journry.
Natamani niku join,hapo bomang'ombe juu kidogo kuna hotel nzuri ya jamaa yangu lyimo.
Sabakheri la"aziz waonaje hali yako,
Awanusuru Mwenyezi hali yangu kama yako,
Shida yangu sijiwezi,
Dawa yangu sura yako,
Na mimi sijitambui,
Naridhia ombi lako,
Wengine wachokozi nakupenda peke yako,
Na mimi sijitambui nakupenda peke yako.
Source: shakira
Salam sana wana cc wote,
Nimekumbuka wimbo wa ...pepe kale... R.I.P
unaoitwa ...Hidaya...... kuna mahali alisema...
Nimepoteza mupenzi wangu kule Tanzania .......
Nimepoteza mkanda wa kiuno.......
Hapa namtafuta Bishanga ..... sina maneno ya nyongeza.
inaitwaje mkubwa...
nipo hapa karibu kabisa na snowview hotel
Kupitapita kwako kunanipa wazimu,Hata kama nitajidanganya kwamba sikupendi, moyo wangu umeganda kwako na hakuna dalili za kukuacha, wewe ni wangu peke yako..
Hata kama watasema mengi kiasi gani, kwako wewe nitaendelea kuwa mpole, maana nakupenda sana...
Siyo rahisi kuishi bila wewe, maana wewe maishani mwangu ni sawa na maji katika maisha ya binadamu. Mwaaaaa
Ni kweli nakiri ndani ya nafsi yangu kwamba nilikukosea mpenzi wangu, naomba unisamehe na unipe nafasi nyingine katika moyo wako mpenzi wangu.
......
Zahra White
tulia kwanza watu wazima waongee