Kupitapita kwako kunanipa wazimu,
Kila mara akipita nyumbani kwangu kuelekea dukani,
Mwendo wake na sura yake kweli vinanichanganya,
Hiye hiye hiye,
Nimempenda msichana akikubali tufunge ndoa...
Sherehe kubwa sana nitaifanya nyumbani
Majibu mazuri nikipata,
Hapo nitapokubaliwa...
Source: mbaraka mwinshehe mwaruka -RIP
KOKUTONA na Kipipi jiandaeni 'okuhekura',
Nivea.......you were right.
Jina sikumbuki lakini kama unapanda juu iko mkono wa kulia,ni kama km tatu toka mjini
Cc: Mr Rocky ......ukisema simtaki wenzio wanasema nitampata lini.....mwaka huu ni wewe na kijiba cha roho.....halo halo ...halo ya bishanga na Mamndenyi!.........Sipo tayari kuukabidhi moyo wangu kwa mwingine zaidi yako,
wewe ni wa pekee maishani mwangu mwenye kujua hisia moyoni mwangu
mpenzi nipende daima pendo lako nitalienzi....
The secretary unalia nini kwani
mbona mumeo yupo tu salama.
He he he he, Bishanga langu
Mamndenyi anakufa na kjiba cha roho