Mim namfahamu ila wewe na The secretary mnamjua zaidi
Vitaongezekaje wakati The secretary atakuwa busy kiguu na njia kuwatafuta wagoni wake na kupigana nao.. Mtoto ataachiwa hauzi geli unategemea nini hapo..?
hahaah bi shost kwa Bishanga kubali tu kubanana ukishindwa jiweke pembeni kwa Arushaone ndio hana mupenzi humu au Nicas Mtei
Hivi mke wa Bishanga ni nani?
weee ishia hapo hapo nani kakuambia kuwa Arushaone hana mpenzi humu?
Umetumwa nini!!?
Arushaone ni wa Madame B japo kuna shosti Lady doctor anajigonga kwake
na harusi eti ni kesho jumamosi
hapa nangojea tarumbeta tu.
Lady doctor acha kulala pilipili mbuzi ni kali sana
hivi wakiitwa wenye wanaume na wewe utakwenda
heri hata ya mbanano wa kwa Bishanga mara mia zote