Akasema ......Nimepoteza mpenzi wangu

umeona eeh
wale walikudanganya sana
wenzio wanatumia vijisenti Katavi unatumia ramli, ama pole we
Kweli havina kazi, ngoja nami niingie kwa gia ya pesa sasa...
 
Last edited by a moderator:
daaah
atapigana na nani kwani
watu wako kwenye viyoyozi
tena ghorofani.
The secretary kila kitu anapata hapo home
alichokikosa akisubirie kidogo.

Vitaongezekaje wakati The secretary atakuwa busy kiguu na njia kuwatafuta wagoni wake na kupigana nao.. Mtoto ataachiwa hauzi geli unategemea nini hapo..?
 
Last edited by a moderator:
Bishanga kwenda kubadili hela tu jamani
si urudi thatha, daah.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…