Akatwa uume akiwa gesti Arusha

Akatwa uume akiwa gesti Arusha

Boran Jakutay

Senior Member
Joined
Apr 8, 2023
Posts
110
Reaction score
259
ARUSHA: Mwanaume mmoja anayefahamika kwa jina moja la Silayo anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 40 mkazi wa Kata ya Sakina jijini Arusha, amekatwa uume wake kwa kisu na mwanamke anayedaiwa ametambulika kwa jina moja la Regina, wakati akiwa Gesti Jijini hapa baada ya kuzuka ugomvi baina yake na mwanamke huyo usiku wa manane, kiasi cha uume huo kushonwa nyuzi nane.

Diwani wa kata ya Sakina, ndugu Elvicent Wilson akizungumza na GADI TV kwa njia ya simu amethibitisha kutokea kwa tukio hilo, na kusema mbali na mwanaume huyo kujeruhiwa uume wake amekatwa sehemu mbalimbali ikiwemo makalio. CHANZO: GADI TV
 
😂😂😂😂😂😂
Baadhi ya wanawake ni viumbe katili sana..
Jamani umkate baba wa watu machine unataka aitwe Auntie Aisha..??
Pole yake maskiini..!!
Kama dada mmoja hapa arusha juzi ameumwa chuchu na jamaa afu akakitema kiko km kifungo.yule dada alikuwa analia jamani adi nilimuurumia.alidate na jamaa kumbe chizi
 
ARUSHA: Mwanaume mmoja anayefahamika kwa jina moja la Silayo anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 40 mkazi wa Kata ya Sakina jijini Arusha, amekatwa uume wake kwa kisu na mwanamke anayedaiwa ametambulika kwa jina moja la Regina, wakati akiwa Gesti Jijini hapa baada ya kuzuka ugomvi baina yake na mwanamke huyo usiku wa manane, kiasi cha uume huo kushonwa nyuzi nane.

Diwani wa kata ya Sakina, ndugu Elvicent Wilson akizungumza na GADI TV kwa njia ya simu amethibitisha kutokea kwa tukio hilo, na kusema mbali na mwanaume huyo kujeruhiwa uume wake amekatwa sehemu mbalimbali ikiwemo makalio. CHANZO: GADI TV
Kilikuwa kibamia au kitango!?
 
Huyo atakuwa malaya alikuwa anadhulumiwa na mteja akaamua kujitetea. Watu wa Arusha acheni upuuzi. Wanawake kwa wanaume wote wakorofi hatari. Hilo janajike liliendaje gesti na kisu?
Ndio zao,Apo unakuta ana kisu ,wembe,madawa ya kukuzimisha ukate Moto,kwa Nini mwanamke wa hivyo kuangaika nae,ata kukojoa kwenyewe si inakua sio starehe tena
 
Back
Top Bottom