Akatwa uume akiwa gesti Arusha

Mimi: alikufa ama hajafa
 
Wanaume wengine aisee!.

Hivi mwanamke anawezaje kukuzidi nguvu na kukukata? Yaani unazidiwa nguvu na mwanamke? Sasa nawe si Aunt Sada tu?

Hata anishike namna gani, kofi moja tu namzimisha na kumuamsha mwenyewe.

Pumbavu!.
Timing tu Kaka.

Hujawahiona Mtu ana Bomu au bastola akawaiwa na wembe na kuweka mikono juu?

Timing ikiwa kwa adui hata awe Mtoto wa miaka 10 tu anaweza kuhatarisha uhai wa Magwiji wa martial arts Jack Chain, Don Yen.
 
Mwanamke wa kimeru katika ubora wao
 
Timing tu Kaka.

Hujawahiona Mtu ana Bomu au bastola akawaiwa na wembe na kuweka mikono juu?

Timing ikiwa kwa adui hata awe Mtoto wa miaka 10 tu anaweza kuhatarisha uhai wa Magwiji wa martial arts Jack Chain, Don Yen.
At least you have a point. Lakini, si mnagombana? Unapswa kuwa makini mno na mtu unayedili naye..
 
[emoji1787]
 
Safi kabisa dawa ya deni ni kulipa,
Alipaswa akinyofoe kabisa kisha akining'inize dirishani,

Wanawake wangapi wanafanyiwa ukatili utasikia "kala vya watu, kaipata size yake"
Kama yule dada wa bank aliyechomwa sindano ya sumu na kuchomwa moto juu,

Mijanaume mishenzi sio ya kuionea huruma ni kukata makalio na vikojoleo tu,

Regina kunywa mbege huko nitalipa [emoji23][emoji23]
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Baadhi ya wanawake ni viumbe katili sana..
Jamani umkate baba wa watu machine unataka aitwe Auntie Aisha..??
Pole yake maskiini..!!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…