Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Lipeni a cheni unless mtavurugwa haya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa baba yangu.Utoto unakusumbua.
Ndiyo mtembee na visu! Wanawake wa Arusha punguzeni usela.Lipeni a cheni unless mtavurugwa haya
Mimi: alikufa ama hajafaARUSHA: Mwanaume mmoja anayefahamika kwa jina moja la Silayo anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 40 mkazi wa Kata ya Sakina jijini Arusha, amekatwa uume wake kwa kisu na mwanamke anayedaiwa ametambulika kwa jina moja la Regina, wakati akiwa Gesti Jijini hapa baada ya kuzuka ugomvi baina yake na mwanamke huyo usiku wa manane, kiasi cha uume huo kushonwa nyuzi nane.
Diwani wa kata ya Sakina, ndugu Elvicent Wilson akizungumza na GADI TV kwa njia ya simu amethibitisha kutokea kwa tukio hilo, na kusema mbali na mwanaume huyo kujeruhiwa uume wake amekatwa sehemu mbalimbali ikiwemo makalio. CHANZO: GADI TV
Timing tu Kaka.Wanaume wengine aisee!.
Hivi mwanamke anawezaje kukuzidi nguvu na kukukata? Yaani unazidiwa nguvu na mwanamke? Sasa nawe si Aunt Sada tu?
Hata anishike namna gani, kofi moja tu namzimisha na kumuamsha mwenyewe.
Pumbavu!.
Mwanamke wa kimeru katika ubora waoARUSHA: Mwanaume mmoja anayefahamika kwa jina moja la Silayo anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 40 mkazi wa Kata ya Sakina jijini Arusha, amekatwa uume wake kwa kisu na mwanamke anayedaiwa ametambulika kwa jina moja la Regina, wakati akiwa Gesti Jijini hapa baada ya kuzuka ugomvi baina yake na mwanamke huyo usiku wa manane, kiasi cha uume huo kushonwa nyuzi nane.
Diwani wa kata ya Sakina, ndugu Elvicent Wilson akizungumza na GADI TV kwa njia ya simu amethibitisha kutokea kwa tukio hilo, na kusema mbali na mwanaume huyo kujeruhiwa uume wake amekatwa sehemu mbalimbali ikiwemo makalio. CHANZO: GADI TV
At least you have a point. Lakini, si mnagombana? Unapswa kuwa makini mno na mtu unayedili naye..Timing tu Kaka.
Hujawahiona Mtu ana Bomu au bastola akawaiwa na wembe na kuweka mikono juu?
Timing ikiwa kwa adui hata awe Mtoto wa miaka 10 tu anaweza kuhatarisha uhai wa Magwiji wa martial arts Jack Chain, Don Yen.
[emoji1787]Nilikutana na mmoja Apo chuga,anakuja analeta pigo za kihuni,anataka nikamtembezee,uku ananipulizia Moshi wa bangi,nikaona dharau kubwa ,kanichukuliaje,Kama kapinda Mimi nimenyongorota,nikaona uyu leo hatonisahau,nimvute sehemu hakuna wenzake au watu,nikamwambia sawa twende nikamle,nikampeleka chocho moja Kama unaenda Babylon,nikambananisha kwa nguvu kwenye Kona,Ile bangi nikamzimishia utosini kwake,mikono nikaibana asiweze vuta zana zake kama wembe,nilimtandika haswa,mpaka nikahisi nitamuua,nikakafunga mdomo,na miguu,nikasepa
Vipi ikiwa alimvizia akiwa ameshalala ndipo akamshtukiza kimashambulizi?At least you have a point. Lakini, si mnagombana? Unapswa kuwa makini mno na mtu unayedili naye..
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Baadhi ya wanawake ni viumbe katili sana..
Jamani umkate baba wa watu machine unataka aitwe Auntie Aisha..??
Pole yake maskiini..!!
😀😀 hatari sana😂😂😂😂😂😂
Baadhi ya wanawake ni viumbe katili sana..
Jamani umkate baba wa watu machine unataka aitwe Auntie Aisha..??
Pole yake maskiini..!!