jkipaji
JF-Expert Member
- Sep 22, 2019
- 6,963
- 9,401
Mlipwe kwani mmekata lesseni huko TRA!!? Mbona mkila nauli zetu bila kuibuka ghetto hatuwakati hivyo vichuchu vyenu!!?Lipeni a cheni unless mtavurugwa haya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mlipwe kwani mmekata lesseni huko TRA!!? Mbona mkila nauli zetu bila kuibuka ghetto hatuwakati hivyo vichuchu vyenu!!?Lipeni a cheni unless mtavurugwa haya
Hapa umuhimu wa kibamia unaonekana. Ukitaka ukikate hakipo Kiko ndani, zaid zaid utaishia kukata mapaja.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Baadhi ya wanawake ni viumbe katili sana..
Jamani umkate baba wa watu machine unataka aitwe Auntie Aisha..??
Pole yake maskiini..!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hujui usemacho wewe. Tena wewe anaweza kuua. Hujakutana na malaya waliochang'anyikiwa!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni katika kutekeleza ile kauli ya
"Kila mtu ashinde mechi zake"
Na kweli dada kashinda[emoji111][emoji111]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaaa hadi machoziiii khaaaaahHapa umuhimu wa kibamia unaonekana. Ukitaka ukikate hakipo Kiko ndani, zaid zaid utaishia kukata mapaja.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee dearSafi kabisa dawa ya deni ni kulipa,
Alipaswa akinyofoe kabisa kisha akining'inize dirishani,
Wanawake wangapi wanafanyiwa ukatili utasikia "kala vya watu, kaipata size yake"
Kama yule dada wa bank aliyechomwa sindano ya sumu na kuchomwa moto juu,
Mijanaume mishenzi sio ya kuionea huruma ni kukata makalio na vikojoleo tu,
Regina kunywa mbege huko nitalipa [emoji23][emoji23]
Nachopendaa watu hawana mbambamba.Kati ya Malaya wakorofi WA Arusha ni balaa ,atakuwa alichukua Malaya WA kaloleni uyo,sema mademu WA kaskazini ni balaa sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hilo ombi linahitaji kibali/ruhusa ya CAG.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ili naye atakapobadilika ajue adha ya kutolipwa stahiki ya huduma.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu mmevurugwaa jamaniiiii.Kwa hiyo tuzin na wanaume?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] akati amekatwa had makalio.Duh huyo dada ana roho ngumu, katili sana. Nawaza tu ilikuwaje mpaka akakatwa uume wake alishindwa kujitetea kabisa angebana hata miguu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mmoja alinishikia kisu usiku wa saa nane Kwa madai kwamba nina mahusiano mengine tofauti na yeye, hivyo ananiua!
Nilichomfanya hatokaa asahau,
Kwanza nilivua shati, nikamwambia choma popote unapojisikia, shingo, kifua na tumbo bill hapa!,bibie akatuma mkono wenye kisu kuelekea kifuani kwangu Kwa nguvu, niliudaka mkono wake on the spot na kuvunja vidole vinne (nilivunja kabisa) akapiga yowe kwa maumivu makali, na mimi nikatokomea zangu kusikojulikana!
Mpaka kesho nikikutana naye ananiogopa kama dubu....
wanamuogopa huyo jamaa akiwa na mamlaka hataki hutani..Huko Arusha Sabaya peke yake ndiyo anawawezea hadi wote wanakua na adabu!!
Duuuh yaan kamtia matatuu ya misalaba kila sehemu ya mwili wake kulazimisha sikukuu ya Pasaka akizingatia ule mstari pendwa wa biblia ambao umeonekana mara moja tu katika Injili zote Mathayo 27:52-53na kusema mbali na mwanaume huyo kujeruhiwa uume wake amekatwa sehemu mbalimbali ikiwemo makalio.