Tetesi: Akaunt ya Mange insta yadukuliwa

Status
Not open for further replies.
Kwasababu anatukana ndo unasema imedukuliwa
 
diamond platnumz x Rick Ross
mambo yamezidi kua matamu sana na sasa hivi wataota majipu sehem nyeti
 
diamond platnumz x Rick Ross
mambo yamezidi kua matamu sana na sasa hivi wataota majipu sehem nyeti

Ukiangalia trend ya wafriika kufikir kuwa karibu na msanii mkubwa wa usa ni kufanikiwa basi leo wiz kid na davido tungewaona kwenye bilboard top 100 za Usa acha hizo picha mkuu zisikupe iman bado sana wale jamaa wanatuchukulia sisi local tu Akon peke yake kafanikiwa Ay aliimba sana na kina sean kingston yupo wap? Wiz kid kafanya ngoma na drake hata top 100 haikuingia na drake yupo juu zaid ya ross
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…