mommythebest
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 516
- 617
Kina wema, chadema na woote anaowasifia. Wajiangalie sana.. Akiwageuka kama alivowageuka ccm wafurahi tuu kama wanavofurahi sasaHa ha alivyokua anamsifia Bint Makamba and family na akawavua nguo na hata Wema aangalie sana dalili zipo wazi siku isiyo na jina ataisoma
HahaLooo Siro si angefurahi cheo kipande zaidi wabuni cheo kipya kwa kumdaka mange yupo Usa mkuu
Huyu kazidi matuc ya kijinga jamani lazima tuheshimeane hata kama ni kutofautiana mawazohii hatar
Dah, asa kama yeye kadukuliwa wengine itakuaje!?
wewe mimi unanijua?Wewe futa post yako unaijua sheria ya mtandao lakini
Mshaanza,MTU alishasema amelewa sanaKwani wakimpoteza viwanda vitajengwa Tanzania? Hakuna faida bora kumuacha tu kama unajiona msafi.
Mkuu Lumumba hao washaanza kuwashwaPropaganda za kitoto za ccm...
Mshaanza,MTU alishasema amelewa sana
yaani kama kuna great thinker humu anayeamini mange amelewa au account yake iko hacked, basi atakuwa na upeo mdogo mnoooo. you dont know her. yuko tayari kufanya chochote kwa ajili ya chochote. anachokifanya ni makusudi ili kutoa attention kwenye event ya danube gsm mall
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] watalia na kusaga menoTunasubiria tu awaweke mubashara wale wa plz hide my id!