Akaunti fake ilivyorudisha mahusiano yangu na mpenzi wangu kwa haraka sana

Hizo mambo Mm nimefanya Sana Kama kwa mademu watatu ni story ndefu Sana na watu wengine wanaweza hisi ni uongo bt hivi vitu vipooo, in short kuna mdada nafanya naye kaz staff moja sio mzur Sana Ila ni mapepe Sana na story Zake anajifanya mataw ya Juu Sana.Siku moja nikafungue account fake fb nikamtumia friends request akakubal then tunaanza kuchat siku ya kwanza ya pili baada ya siku tatu nikaanza kumtongoza akaomba nimtumie picha nikatuma picha ya rafk yang anayeishi mkoan, bas mdada akaniulza nafanya kaz gan? Nikamjib Mm ni muhasib wa kampun fulan na nipo dar. Mdada akaona kapata mtu wa maana Sana, na mm nikamwambia natafuta mke, bas tunaanza kuchat Kama wapenz, baadaye akanitumia namba ya cm tukawa tunachat na Mm nilimuazima mtu namba ambayo haitumii, na kwa kuwa cm yang ilikuwa uwezo wa kufungua whatsapp mbili bas moja yang ya kawaida na nyingne ya huyo mdada na nikamuweka DP Kabisaaa.nilikuwa nampelekesha mpaka akawa akanitumia picha za nusu utupu, na wakat akawa mpaka akanitumia hela, kuna ck Mm mwnyw nilikuwa Nna Shida ya hela nikamfata ofisin nikamuomba anikopeshe laki 2 bt bint akasemaje hana, Nikamjib Pouwaaaa, hapo hapo nikaingia whatsapp nikamtext bby mambo Nna Nna Shida Sana na laki 3 vp waweza niazme? Akaniambia nisubir Kama Lisaaa aende bank kuchukua kwel baada ya lisaaa naona mzigo unasoma m pesa.
 
kuna watu naona mna muda mwingi sana msiojua muufanyie nini..
 
Kanitoa chamboo wallah hii tabia tulifanya chuo kusajili namba alafu unaanza kumtongoza baby wako
Mambo ya kizamanii... siku hizi namba mpya mtu unaifanyia tathmini. Hawa wasukuma bhana....
 
Story ina chumvi nyingi hii....
Hizo accounts zote ulifungua kwa kutumia email au phone number?
 
We jamaa ni zaidi ya genius nimenyoosha miguu juu!
 
mimi nilivyo aisee ningeshtukiwa tu stella anashangaa anakuta sms kutoka kwa haika "vp arifu?" mchezo unaungua kii iv yan
 
mimi nilivyo aisee ningeshtukiwa tu stella anashangaa anakuta sms kutoka kwa haika "vp arifu?" mchezo unaungua kii iv yan
[emoji1] [emoji2] [emoji2] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji2] [emoji1] [emoji1]
 
Siku zote huwa naanza kusoma conclusion ndo narudi juu... Baadaye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…