Wakuu habari zenu?
Ninaomba msada na muongozo kuhusu hili jambo. Mfano kuna account bank ambayo mhusika wake alishafiriki ila warithi wa marehemu wangependa account isifungwe na kisheria waruhusiwe kuisimamia kwa muda flani kwakuwa kuna miamala ya fedha (za kibiashara) ambayo bado inaingia kwenye hiyo account. Inawezekana?
kwenda kote benki mara mhakamani halafu hujui kuna sh ngapi ghafla unakutana na 200 TSHS.Wakuu habari zenu?
Ninaomba msada na muongozo kuhusu hili jambo. Mfano kuna account bank ambayo mhusika wake alishafiriki ila warithi wa marehemu wangependa account isifungwe na kisheria waruhusiwe kuisimamia kwa muda flani kwakuwa kuna miamala ya fedha (za kibiashara) ambayo bado inaingia kwenye hiyo account. Inawezekana?
Mkuu Account zinafungwa pesa zisitoke tu au kama unataka kuweka pesa napo itashindikana?Akaunti inatakiwa kufungwa Ili kuruhusu msimamizi wa mirathi achaguliwe na aidhinishwe na mahakama, na Kama kuna pingamiz linatolewa na kufanyiwa uamuzi. Haiwezkan akaunti uendelee kuioperate wakati mahakama haijakuruhusu. Ila Kama ni mke au mume unajua pasaword yKe Unaweza Kuwa unatoka Kwa njia hio ila still utakuwa unavunja sheria.mambo ya mirathi yanamambo mengi Ndo maana akaunti za marehemu Huwa zinafungwa Kwa muda Kwa Ajili ya usalama.so ukiteuliwa Kuwa msimamizi wa mirathi unaioperate vizuri Kabsa. Kila la heeri
Mke na watoto wanaweza kuitumia kwa muda tu kutoa pesa ATM kuna baadhi ya familia wazaz Wana wapa watoto namba za Siri za card, kwaiyo mke na watoto wanajua password, mfano za Baba, mama, kaka na dadaKwani mkuu mwenye akaunti akifariki wewe utaitumiaje?? Kuna ndugu yangu kafariki three months ago na akaunti yake ina fedha za kutosha ila tunajua kabisa kwamba si mkewe wala watoto wanaoweza kui access mpaka msimamizi wa mirathi akamilishe utaratibu wote.
Uyo muhudumu ana cheo gani? Usikute ni karani Tu wa mahakama kujitia ujuaji.Kumbe inawezekana.... Leo mhudumu pale mahakamani anasema eti ni lazima ifungwe
na hapo umesafiri kutoka kijijini ileje zaidi ya mara mbili kuja mjini kufuatilia pengine zaidi ya kilo 4 ishakutoka afu unakutana na balance radio frequency 104.94 fm mgawanyo uende kwa watu wa5.kwenda kote benki mara mhakamani halafu hujui kuna sh ngapi ghafla unakutana na 200 TSHS.
Ninachokiona ni kuwa uyo secretary anafanya kazi isiyomuhusu.Sawa asante sana. Ntaenda pia bank. Maana secretary wa pale masjala sijamuelewa kabisa. Eti na hela zilizopo humo zinahamishiwa kwenye account ya mahakama??
InategemeanaWakuu habari zenu?
Ninaomba msada na muongozo kuhusu hili jambo. Mfano kuna account bank ambayo mhusika wake alishafiriki ila warithi wa marehemu wangependa account isifungwe na kisheria waruhusiwe kuisimamia kwa muda flani kwakuwa kuna miamala ya fedha (za kibiashara) ambayo bado inaingia kwenye hiyo account. Inawezekana?
Siku hizi mahakimu wameambiwa wachape hukumu wenyewe kuepusha makosa ya uandishi ya masekretari wasiojua kitu kwenye uwanja wa sheria.Nimecheka, ukirudi mwambie secretary taaluma yako ni ya uchapishaji wa hukumu mengine sio utaalamu wako, akisema kwanini mwambie pesa zinaingiaje account ya mahakama nimecheka [emoji23] ni mahakama gani hiyo ya kino
Sawa mkuuUyo muhudumu ana cheo gani? Usikute ni karani Tu wa mahakama kujitia ujuaji.
Suala lako linawezekana dear, muhimu msimamizi wa mirathi awasilishe ombi lake kwa maandishi mbele ya hakimu anayeisikiliza Hilo shauri.
Hakimu kwa niaba ya msimamizi wa mirathi atatoa order kwa meneja wa bank kumuomba hiyo account isifungwe kwa sababu zitakazoainishwa.
Muhimu ni kukimbizana na muda.
Asante sana umeeleweka vyemaNinachokiona ni kuwa uyo secretary anafanya kazi isiyomuhusu.
Mtu anapofariki na baada ya msiba kuisha ndugu hukaa kikao, kikao kitateua msimamizi wa mirathi, orodha ya Mali alizoacha marehemu na madeni huorodheshwa.
Baada ya Hapo msimamizi wa mirathi ataenda mahakamani akiwa na muhtasari wa kikao na cheti cha kifo kwa ajili ya kufungua shauri. Utaambiwa ulipie Ada ya mahakama then shauri hupangiwa hakimu wa kusikiliza.
Kumbuka mpaka kufikia hatua hiyo bank Haina taarifa Kama mwenye account amefariki. Anayetoa taarifa za kufariki kwa mteja na kutaka account ifungwe ni hakimu anayeisikiliza shauri husika Sasa andika Maombi kwenda kwa hakimu kumuomba hiyo account isifungwe ww ukiwa Kama msimamizi wa mirathi na uoneshe Maombi hayo ni maamuzi ya pamoja ya wategemezi wa marehemu.
Hakimu akiridhia ataandika barua kwenda kwa meneja kumtaka asifunge hiyo account kwa sababu mlizoorodhesha.
Ila ukweli ni kwamba account ya marehemu inapofungwa fedha huamishiwa kwenye account ya mahakama iliyopo bank kuu wakati tukisubiri hukumu la shauri la mirathi kwa ajili ya utekelezaji.
Pole dada, epuka kupokea maelekezo kutoka kwa wasiohusika.
Upo sahihi mkuu.Idhini ya kufanya hivyo inakuwa mikononi mwa mahakama kama mchakato wa kumpata msimamizi wa mirathi haujakamilika.
Unataka kupigwa sasa hapa na hao wa mahakama. Hakuna sheria ya pesa za marehemu kuhamishiwa account ya mahakama.Sawa asante sana. Ntaenda pia bank. Maana secretary wa pale masjala sijamuelewa kabisa. Eti na hela zilizopo humo zinahamishiwa kwenye account ya mahakama??
Asante sana mkuu.Well said kiongozi... Hivi kwa uzoefu wako kwa mtu ambaye alikuwa muajiriwa wa serikali (mfuko wa pensheni wa PSSSF) inaweza kuchukua muda gani??
Kama hujui kitu kaa kimya, pesa ya marehemu account ikishafungwa na branch yake pesa yote inaingizwa kwenye account ya mahakama, then mkishajaza fomu za mahakama za wanufaika na mgao wao mahakama ndio inazigawa zile pesa kama mlivyojaza kwenye fomu mgawanyo direct kila mnufaika anaingiziwa kwenye account yake.Unataka kupigwa sasa hapa na hao wa mahakama. Hakuna sheria ya pesa za marehemu kuhamishiwa account ya mahakama.