Akaunti ya Daudi Balali iliyotabiri ushindi wa Magufuli 2020, Lissu kuimarisha Upinzani imerudi tena ikiwa Verified

Akaunti ya Daudi Balali iliyotabiri ushindi wa Magufuli 2020, Lissu kuimarisha Upinzani imerudi tena ikiwa Verified

Ubaya Ubwela

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2024
Posts
1,353
Reaction score
3,060
Akaunt hiyo imerudi hewani jana majira ya saa tano na dk 31 Usiku ikiwa verified

"Magufuli atashinda kwa zaidi ya 80%. Lissu atasaidia kuijenga upya CHADEMA lakini itatokea mifarakano ya kimaslahi. Mwinyi atashinda Zanzibar, CCM na ACT wataunda GNU iwapo ACT hawatasusa. ACT Bara itasinyaa. CUF & NCCR wamefika mwisho. 2025 utakuwa uchaguzi usiotabirika kwa CCM."


IMG_20250129_094355.jpg
 
Ila Magufuli hakushinda kwa above 80%(. Na mimi nilimpa kura yangu)
Mengine yote yametimia.
 
Tujikumbushe utabili ya Shekh yahaya


"Baada ya Rais Kikwete atakuja Rais mweusi mchapa kazi, hata hivyo ataongoza kwa kipindi kifupi, ndipo Tanzania itapata Rais mwanamke na baada ya hapo Upinzani utachukua nchi,”… Sheikh Yahaya"
Na wewe una amini itakuwa ivyo? 😂
 
Back
Top Bottom