Subiri akutukaneHer instagram page imekuwa washed out rasmi.
ngoja arudi sijui utajificha wapiHahahahahah huwezi cheza na Serikali ina mkono mrefu,bye bye Mange Kimambi.Ile simu nokia 8 imekuponza.Nimeamini bora ukose mali kuliko kukosa akili.
Sijaelewa hapa,Hahahahahah huwezi cheza na Serikali ina mkono mrefu, bye bye Mange Kimambi. Ile simu nokia 8 imekuponza. Nimeamini bora ukose mali kuliko kukosa akili.
Mbna umeshusha povu kwa vinaHahahahahah huwezi cheza na Serikali ina mkono mrefu,bye bye Mange Kimambi.Ile simu nokia 8 imekuponza.Nimeamini bora ukose mali kuliko kukosa akili.
Atakufa njaa!!! huo ndio ulikuwa ujasiliamali uliokuwa unamuweka mjiniHer instagram page imekuwa washed out rasmi.
Her instagram page imekuwa washed out rasmi.
Unavyoshangilia utadhani kafa, mchwa haumalizwi kwa kuvunja kichuguu...wanajenga kingine.Hahahahahah huwezi cheza na Serikali ina mkono mrefu,bye bye Mange Kimambi.Ile simu nokia 8 imekuponza.Nimeamini bora ukose mali kuliko kukosa akili.
Mange page yake imefutwa kiufundi,alitumiwa simu akajuwa zawadi kumbe mtego.
Alikuwa na followers milion karibia mbili,ni pigo sana kwake,tulimpenda ila Iphone 8 imempenda zaidi.Wale wa hide my name mjiandae.Astagallafullah.Sijaelewa hapa,
Iliyodakwa ni account ya Instagram, anaweza akafungua ingine kwa simu ingine,
Nimewaza tu
Ile alosema ametumiwa na anonymous fan sijui anamkubaligi, aendeleze mapambano simu inahifadhi sana ina gb kubwa.Mange page yake imefutwa kiufundi,alitumiwa simu akajuwa zawadi kumbe mtego.
Wale waliokuwa wanamtumia information si watajulikama kama mtego ni simu?Hahahahahah huwezi cheza na Serikali ina mkono mrefu,bye bye Mange Kimambi.Ile simu nokia 8 imekuponza.Nimeamini bora ukose mali kuliko kukosa akili.
Mange page yake imefutwa kiufundi,alitumiwa simu akajuwa zawadi kumbe mtego.