Akaunti ya Instagram ya mange Kimambi yapotea hewani; yarudi hewani baada ya masaa kadhaa

Akaunti ya Instagram ya mange Kimambi yapotea hewani; yarudi hewani baada ya masaa kadhaa

Status
Not open for further replies.

Victoire

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2008
Posts
24,386
Reaction score
57,588
Amanii eh wakuu account ya Mange Kimambi haipo tena insta. Ishara zilianza tokea juzi watu walivoanza kusema huyu sio Mange baada ya vitu vya ajabu kutokea kwenye ile account hatimaye na mchana huu account yake haipo tena instagram sijui dada wa watu atakuwa kapatwa na nini, uthibitisho huu chini.

Mange.jpeg


Update: Akaunti yake imerudi hewani, Ila nyie mnaomtumia Mange Kimambi information muwe macho. Shauri yenu siku zenu zinahesabika
 
[emoji87] [emoji86] [emoji15]
Mkuu embu tolea ufafanuzi bandiko lako,m kwa kweli sijaelewa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom