Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,386
- 57,588
Amanii eh wakuu account ya Mange Kimambi haipo tena insta. Ishara zilianza tokea juzi watu walivoanza kusema huyu sio Mange baada ya vitu vya ajabu kutokea kwenye ile account hatimaye na mchana huu account yake haipo tena instagram sijui dada wa watu atakuwa kapatwa na nini, uthibitisho huu chini.
Update: Akaunti yake imerudi hewani, Ila nyie mnaomtumia Mange Kimambi information muwe macho. Shauri yenu siku zenu zinahesabika
Update: Akaunti yake imerudi hewani, Ila nyie mnaomtumia Mange Kimambi information muwe macho. Shauri yenu siku zenu zinahesabika