Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Duh, Salary Slip atapata mshtuko wa moyo. Madaktari wakae tayari kumpokea.Her instagram page imekuwa washed out rasmi.
anazo mbili
hiyo si official account....
Yaani wamempata kirahisiii,wangemkosa hapo wangemtumia mzungu wakampa ma hela akamtongoza basi anapatikana very simple.Anajifanya ana akili, mbinu na ujanja wakati kumbe ni mweupe tu mbele ya wanaojua majukumu / kazi zao walizozibobea kisawasawa.
Wale waliokuwa wanamtumia information si watajulikama kama mtego ni simu?
na nani?Her instagram page imekuwa washed out rasmi.
Kinacho kuchekesha nini sasa? Kwamba kwa sababu account yake imefutwa hawezi kuja na nyingine?Hahahahahah huwezi cheza na Serikali ina mkono mrefu,bye bye Mange Kimambi.Ile simu nokia 8 imekuponza.Nimeamini bora ukose mali kuliko kukosa akili.
naona umeishikia kidedea sana dada yangu, si ile simu alienda akadilisha akachukua anayotaka yeye, ile aliyopewa hakuwahi itumia, mbona kurudi ni rahisi sana, naona accounts kibao bado zinapumua,Mange page yake imefutwa kiufundi,alitumiwa simu akajuwa zawadi kumbe mtego.
and thenHer instagram page imekuwa washed out rasmi.
sasa kwani si anafungua nyingine tu? hahaha panya ukimzuia hapa anatoboa tundu lingine anaendea kwingineAnajifanya ana akili, mbinu na ujanja wakati kumbe ni mweupe tu mbele ya wanaojua majukumu / kazi zao walizozibobea kisawasawa.
Itarud na kiuzi chako utaona aibu. Mbona una hackiwa mara kadhaa na anarudiSiyo official hii,yake ilikuwa na followers milioni na ushee.
hakuwahi kuwa na official accounthiyo si official account....
how sure are u? au wew ndo ulimtumiaMange page yake imefutwa kiufundi,alitumiwa simu akajuwa zawadi kumbe mtego.
hahaha aliingia mtegoni mwenyewe tulimkanya lakini hakisikia naona blank tu walianza kumhak juzi jana akapotea hewani masaa kisha leo holaaaaa kesho tutasikia kakatwa masikio yote mawili hahahahaIle alosema ametumiwa na anonymous fan sijui anamkubaligi, aendeleze mapambano simu inahifadhi sana ina gb kubwa.
Ha ha haaa, shikamoo serikali