Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,256
- 16,317
safi kwani mimi nilikwambia ni mtu nisiyejulikana ? ninazo hizo na nyingi tuu hata mtaani ukitaka nitakupeleka tukanywe balimi huko au unadhani naishi maisha ya uoga uoga ahahahaha once upon a time nilikuwa natumia picha na jina langu halisi hapa so no big dealKama ile fb uliyonayo. Tena naijua jina lake na wewe nakufahamu vizuri tu