Akaunti ya Instagram ya mange Kimambi yapotea hewani; yarudi hewani baada ya masaa kadhaa

Akaunti ya Instagram ya mange Kimambi yapotea hewani; yarudi hewani baada ya masaa kadhaa

Status
Not open for further replies.
This time harudi na akirudi arudi kwa device nyingine,akitumia ile iphone 8 alopewa zawadi ni kazi bure.Nimeamini Mange hana akili ya kufikiria kabisa.
Wewe ike iphone aliyopewa alienda akaibadilisha kwenye kampuni la simu akachukua nyingine upooooo titii
 
Aisee ishia hapohapo acha kabisa kuipa sura mbaya serikali, serikali haihusiki na wala haitahusika na ujinga wa kuwadhuru raia wake tafadhari sana naomba uishie hapohapo serikali hii haipo hivyo unavyofikiria wewe maana naona unataka kuihusisha serikali na tukio lililomtokea huyo unaemuita kiherehere wa sheria tafadhari sana ndugu kuwa na staha
Ulivyoelewa wewe, Sawa, Mimi pia namaana tofauti na ufikiriavyo
 
sidhani kama imefutwa nahisi atakuwa kafanya mwenyewe tu, baadae zinarudishwa zote, nilidhani jina hasa la mange kimambi halipo, natizama hapa naona hakuna post ungesema hata jina lake halipo hapo ningesema sawa, kwani nakumbuka alishawahi fanya hivi na baadae akarudisha
Manual protection of the account, au? Kama kweli atajinasibu kivingine, Aigipiiyy ndo alisema wanafanyia kazi, lkn kazi kama ni ku_Spam account, haitoshi, ni kitu kidogo.
 
Mwenzako muda wote nilikuwa natania tu. Mange Kimambi oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeumerudiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiwanafiki wote kwendraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaahivi akili zenu mbovu kabisa eti mlijua GENTAMYCINE simpendi Mange Kimambi na nimefurahia Yeye kutowepo hewani?

Nimefurahi sana kujua Kipenzi changu Mwanadada, Mpinzani Mghaibuni Mange Kimambi amerudi tena hewani kwani nilikosa kabisa amani na furaha na nilikuwa najifanya ' Kumkandia ' vile ili tu apate hasira na airejeshe hiyo ' akaunti ' na kweli ameirudisha na muda si punde pia nimetoka kuchati nae na kaniambia She's doing fine na kuna bonge la ' Breaking News ' anakuja nayo hivi punde.

Haya sasa Wanafiki wote na mnaomchukia Mange Kimambi upesi sana ' ondokeni ' humu na mtuache Sisi wenye mapenzi mema na uchungu nae. Mange Kimambi KariiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiibuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuusanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaDadaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaakudadadeki Wanafiki popote pole mlipo!!!!!!!
NINAMASHAKA NA JINSIA YAKO
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom