Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Nimeliongea hili kwenye uzi wangu VYAMA VYA UPINZANI AZIENI HAPA... kuhusu ndoa ya CCM na Serikali ambapo hii akaunti inayojinasibisha kuwa ni ya serikali ikitumika kama eneo la kampeni ya kuwanadi wagombea wa nafasi za uongozi ndani ya chama dola
Akaunti ya Instagtam kwenye bio yake
Hivyo inawezekana hii ni akaunti ya mtu binafsi lakini tujiulize ana mamlaka gani kuibatiza kuwa ni akaunti ya serikali ?
Je kama ni ya mtu binafsi kama watakavyokuja kujitetea, ni watu wangapi wameshaingia mtegoni na kutapeliwa kupitia akaunti hii wakiamini ni ya umma?
Katiba mpya ni suluhisho la utapeli huu wa kisiasa lakini mpaka tupate hiyo katiba ni lazima tusijidanganye kuwa wataileta
Na swali la kujiuliza, nani anafaidika na uhuni huu?
Akaunti ya Instagtam kwenye bio yake
Hivyo inawezekana hii ni akaunti ya mtu binafsi lakini tujiulize ana mamlaka gani kuibatiza kuwa ni akaunti ya serikali ?
Je kama ni ya mtu binafsi kama watakavyokuja kujitetea, ni watu wangapi wameshaingia mtegoni na kutapeliwa kupitia akaunti hii wakiamini ni ya umma?
Katiba mpya ni suluhisho la utapeli huu wa kisiasa lakini mpaka tupate hiyo katiba ni lazima tusijidanganye kuwa wataileta
Na swali la kujiuliza, nani anafaidika na uhuni huu?