Akaunti ya tweeter ya Mhe. Rais na Mhe. Makamu wa Rais kila wakitweet hakuna viongozi wa CCM wanaungana naye; tujisahihishe

Huo mi naona ni kuwa mtumwa kwa kiongozi. Asee kati ya vitu vinanipa hard time ni kuwa "chawa" wa kiongozi. Mi siwezi na siwezagi. Kama mama amejenga mazingira ya kutotengeneza machawa hilo ni jambo la kupongeza kwake.
 
Kila mtu yupo kimaslahi hakuna anaye mpenda mwenzake ni unafiki na kuviziana kichobaki ndani ya ccm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…