Akaunti za Belle 9 Mitandaoni zavamiwa; Diamond atukanwa

Kisambo

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2014
Posts
845
Reaction score
514
Kupitia Account yake ya Instagram Belle 9 Amepost Picha ya DiamondPlatnumz na Kuporomosha Matusi ya Nguoni
================
================
 
Duhhh hayo matusi kama ya mwantumu sidhani kama yanaweza kutoka kwa belle Tisa.....afu mambo ya wema,zari, diamond na kiba kama wimbo wa taifa tumeshachoka...
Leteni hata habari za bibi Cheka bhasi tuvutiwe alau kidogo
 
Sio mbaya kama mtu kakuudhi mfanyie kile ambacho roho yako itakufanya ujiskie vizuri.... Kama diamond kazingua atukanwe tu kwani ye ndo nani!!
 
Kwanini ni account zao tuu kila Siku zinahakiwa?
 
huyu bele asiyekuwa kila mwaka kumbe naye yumo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…