Vijana wa sasa mnakwama wapi?,mimi niko kwenye 50+ nikitoka na manzi lazima atoke anakimbia chupi kaweka kichwani bila kutumia sijui akayabanga,vumbi la kongo nk.
ukiona mwanaume anasifia vitu vinavyosemekena kuongeza nguvu za kiume basi ukipima akili yake haina afya na anamsongo wa mawazo vibaya mno.. wajinga kama mleta mada wanapoteza pesa nyingi sana wakati lishe ndio tiba ya kwanza......
mliooambiwa nyeto ni kipindi cha mpito nyie mkaifanya kama chakula leo unakimbilia matangawizi machafu
Vijana wapumbavu wa kitanzania wamekaaa wanaomyeshana madawa ya nguvu za kiume, wengine huko duniani vijana wanaoneshana viwanda vingap na utajiri mkubwa wanaomiliki