Akayabagu ni hatari, vumbi la Congo linasubiri

Akayabagu ni hatari, vumbi la Congo linasubiri

KING MIDAS

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2010
Posts
8,589
Reaction score
16,936
Hatari sana hii mambo

images (2).jpeg
 
ukiona mwanaume anasifia vitu vinavyosemekena kuongeza nguvu za kiume basi ukipima akili yake haina afya na anamsongo wa mawazo vibaya mno.. wajinga kama mleta mada wanapoteza pesa nyingi sana wakati lishe ndio tiba ya kwanza......


mliooambiwa nyeto ni kipindi cha mpito nyie mkaifanya kama chakula leo unakimbilia matangawizi machafu
 
Vijana wapumbavu wa kitanzania wamekaaa wanaomyeshana madawa ya nguvu za kiume, wengine huko duniani vijana wanaoneshana viwanda vingap na utajiri mkubwa wanaomiliki
 
Kula diko vizuri achana na hayo. Sana sana uwe mchemsho
 
Vidude vitaoza shauri yenu endeleeni kutumia🙂
 
Tabu yote hii kisa sex. Mbona mna mambo mengi tu ya kufanya vijana nje ya huu ujinga??
 
Hatari hiyo kitu maeneo ya Kigoma wanatumia sana hiyo kujibust
 
Back
Top Bottom