Akianza Novatus Dismas kiungio tunafungwa. Napendekeza aanze Mtasigwa

Akianza Novatus Dismas kiungio tunafungwa. Napendekeza aanze Mtasigwa

FK21

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2019
Posts
8,600
Reaction score
10,760
Wanamichezo nina hoja Kwa jicho la kiufundi.

Ningekuwa nina access ya kukaa na kuongea na kocha wa national team leo ningependekeza AANZE kiungo ALDOLF MUTASINGWA sababu iyo nafasi huwa anaicheza akiwa AZAM.

Huyo novatus akiwa GOTZEPE hachezi iyo nafasi tusilazimishe mambo

Number ya Mzize pia AANZE winger wa azam IDDY NADO maana ana uwezo kumzidi uyo CLONED player MZIZE

NB: LEO NDIYO SIKU YA KUONA UBOVU WA BACCA

NAPENDEKEZA number 2 aache LUSAJO MWAIKENDA Kwa Kapombe tutauliwa
 
Daaa mpira nayo ni shule kumbe, nado aanze kwa mzize? Hii mechi hatuhitaji sare ni ushindi tuu. Novatus mzuri sana kupiga long passes zinazonguka nyuma ya mabeki. Na kukaba yupo vizuri. Kapombe mzuri sana kwa kupiga cross passes. Mwaikenda akipelekewa moto anakata upepo yule. Angalizo guirassy yupo leo
 
Wanamichezo nina hoja Kwa jicho la kiufundi.

Ningekuwa nina access ya kukaa na kuongea na kocha wa national team leo ningependekeza AANZE kiungo ALDOLF MUTASINGWA sababu iyo nafasi huwa anaicheza akiwa AZAM.

Huyo novatus akiwa GOTZEPE hachezi iyo nafasi tusilazimishe mambo

Number ya Mzize pia AANZE winger wa azam IDDY NADO maana ana uwezo kumzidi uyo CLONED player MZIZE

NB: LEO NDIYO SIKU YA KUONA UBOVU WA BACCA

NAPENDEKEZA number 2 aache LUSAJO MWAIKENDA Kwa Kapombe tutauliwa
Ni kama ulikuwa na hoja nzuri ila ushabiki umekuzidia hadi umepotea.
 
Wanamichezo nina hoja Kwa jicho la kiufundi.

Ningekuwa nina access ya kukaa na kuongea na kocha wa national team leo ningependekeza AANZE kiungo ALDOLF MUTASINGWA sababu iyo nafasi huwa anaicheza akiwa AZAM.

Huyo novatus akiwa GOTZEPE hachezi iyo nafasi tusilazimishe mambo

Number ya Mzize pia AANZE winger wa azam IDDY NADO maana ana uwezo kumzidi uyo CLONED player MZIZE

NB: LEO NDIYO SIKU YA KUONA UBOVU WA BACCA

NAPENDEKEZA number 2 aache LUSAJO MWAIKENDA Kwa Kapombe tutauliwa
Bila shaka kocha alisoma hii post
 
Wanamichezo nina hoja Kwa jicho la kiufundi.

Ningekuwa nina access ya kukaa na kuongea na kocha wa national team leo ningependekeza AANZE kiungo ALDOLF MUTASINGWA sababu iyo nafasi huwa anaicheza akiwa AZAM.

Huyo novatus akiwa GOTZEPE hachezi iyo nafasi tusilazimishe mambo

Number ya Mzize pia AANZE winger wa azam IDDY NADO maana ana uwezo kumzidi uyo CLONED player MZIZE

NB: LEO NDIYO SIKU YA KUONA UBOVU WA BACCA

NAPENDEKEZA number 2 aache LUSAJO MWAIKENDA Kwa Kapombe tutauliwa
Natumaini umeona kazi ya ukocha ilivyo ngumu😂😂😂...
 
Back
Top Bottom