The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
Sijawahi kuelewa hii Bank ina tatizo gani
kuna siku around Dec mwaka 2014 watu wameshindwa kuchukua pesa
zao kwa siku tatu mfululizo kisa ni networks...siku tatu mfululizo...
unbelievable....na sasa imekuwa kawaida hii bank ikifika weekends hakuna networks
ukienda kwenye ATM ya UMOJA SWITCH ajabu wateja wa bank zingine tena bank ndogo kabisa
wana toa pesa zao kama kawaida lakini mteja wa ACB unaambiwa 'BENKI YAKO HAIPATIKANI'
kibaya zaidi ukipiga simu kwenye call center yao simu hazipatikani au hazipokelewi
Hii bank kwa kweli tunapaswa kuanza kampeni ya kuisusa hadi wajirekebishe
hawana heshima kwa wateja kabisa wala kujali'
yaani mtu anashindwa kupata pesa zake mwenyewe na hakuna mtu wa kumuuliza
kwa siku hata tatu mfululizo.......only in Tanzania...........
kuna siku around Dec mwaka 2014 watu wameshindwa kuchukua pesa
zao kwa siku tatu mfululizo kisa ni networks...siku tatu mfululizo...
unbelievable....na sasa imekuwa kawaida hii bank ikifika weekends hakuna networks
ukienda kwenye ATM ya UMOJA SWITCH ajabu wateja wa bank zingine tena bank ndogo kabisa
wana toa pesa zao kama kawaida lakini mteja wa ACB unaambiwa 'BENKI YAKO HAIPATIKANI'
kibaya zaidi ukipiga simu kwenye call center yao simu hazipatikani au hazipokelewi
Hii bank kwa kweli tunapaswa kuanza kampeni ya kuisusa hadi wajirekebishe
hawana heshima kwa wateja kabisa wala kujali'
yaani mtu anashindwa kupata pesa zake mwenyewe na hakuna mtu wa kumuuliza
kwa siku hata tatu mfululizo.......only in Tanzania...........