Akiba cormmecial bank hii ni zaidi ya upumbavu na kero

Umeona sasa....hawa hata call center yao simu hazijibiwi
usikute hata team ya ICT hawana
wanachukua deiwaka....
Hahahahaaha mkuu umenifurahisha benki ichukue deiwaka....itakuwa haijajipanga kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…