ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Wanatuma text nying, nimewablock sasa πππEwe Mwananchi Benki kuu ya Tanzania inakukumbusha kutunza vyema Noti na Sarafu ili taifa lisipate gharama kuchapisha fedha kila mara kufidia uharibifu.
Si tunatunza kwenye simu mkuu au bankEwe Mwananchi Benki kuu ya Tanzania inakukumbusha kutunza vyema Noti na Sarafu ili taifa lisipate gharama kuchapisha fedha kila mara kufidia uharibifu.
Si tunatunza kwenye simu mkuu au bank
Congrats Mkuu,Now 53ml lengo 65ml end of Dec