Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Rejea kichsa cha habari hapo juu naonba dawa yake pls
Huu mwaka shida sijaweza kujua siku zake na wala sina shida nazo ila ukionaaa tu mnagusana anakwambia pls nimechkka
Ukilazimisha anakupa huku anatoa machozi ujue p inakaribia
Hiki swala limekuwa shida Sana kwa shemeji yenu na kama sijashtuka naweza kumchunia siku saba nk kumbe p ishaanza
Kama kuna dawa ama mizizi ya kuchemsha naomben pls
Huu mwaka shida sijaweza kujua siku zake na wala sina shida nazo ila ukionaaa tu mnagusana anakwambia pls nimechkka
Ukilazimisha anakupa huku anatoa machozi ujue p inakaribia
Hiki swala limekuwa shida Sana kwa shemeji yenu na kama sijashtuka naweza kumchunia siku saba nk kumbe p ishaanza
Kama kuna dawa ama mizizi ya kuchemsha naomben pls