Akikaribia period anakuwa na hasira hamu ya unyumba inaisha dawa yake nini?

Akikaribia period anakuwa na hasira hamu ya unyumba inaisha dawa yake nini?

Yani na utu uzima huo ndo umegundua leo? Tupo hivyo tukikaribia au tukiwa Mp, ama mimba hasa changa hasira kali
 
Rejea kichsa cha habari hapo juu naonba dawa yake pls

Huu mwaka shida sijaweza kujua siku zake na wala sina shida nazo ila ukionaaa tu mnagusana anakwambia pls nimechkka

Ukilazimisha anakupa huku anatoa machozi ujue p inakaribia

Hiki swala limekuwa shida Sana kwa shemeji yenu na kama sijashtuka naweza kumchunia siku saba nk kumbe p ishaanza

Kama kuna dawa ama mizizi ya kuchemsha naomben pls
Mvumilie.Akifika meno-pause hautapata usumbufu.Utakula mtori kwa kijiti.
 
Rejea kichsa cha habari hapo juu naonba dawa yake pls

Huu mwaka shida sijaweza kujua siku zake na wala sina shida nazo ila ukionaaa tu mnagusana anakwambia pls nimechkka

Ukilazimisha anakupa huku anatoa machozi ujue p inakaribia

Hiki swala limekuwa shida Sana kwa shemeji yenu na kama sijashtuka naweza kumchunia siku saba nk kumbe p ishaanza

Kama kuna dawa ama mizizi ya kuchemsha naomben pls
Na bado hujamsoma tu kuepusha hiyo hali? Kuishi pamoja ni kuchukuliana, na huo ni mzunguko unaotokea kila baada ya muda fulani, inakuwa aje ngumu kwako kuendana na uhalisia?
 
Piddy mbona hivyo, yaani na ukubwa huo bado ufundishwe jinsi ya kudeal hizo mambo?

Kuna nyakati ukristo umefeli sana, kukaribia mp hadi iishe kuna siku kama 5-7 hivi, mtu ukae ukisikilizia mood ya mwenzako tu hapo, WTF!!! A man has to do what a man has to to...ts simple!!
 
Haina dawa zake.mkuu akikasirika ananiogopesha kitukidogo kanyanyuka nacho kelele doh nw akikianzisha nakimbilia pub hatakama sinywi nasikiliizia hapa atakuwa ashalala
Na hiyo ni indicator ya umaskini sababu utatumia muda mwingi kuwaza single line of circles,better kukawa na mpango B,hicho kislani ni jipu na ni pepo la umaskini
 
Back
Top Bottom