Video haija fika hata masaa 24 lakini nenda kaangalie viewers na comment za watu wa nje...povu linakutoka mtv wameipiga ngoma mapema sanaTatizo ushabiki maandazi tu wengine ikibadilishwa verse kidogo tu ikawa kiingereza hta maana yke hawajui ila ndio watashabikia verse tamu kumbe hta kilichoimbwa ukiwauliza hawajui
Ushabiki viazi. Diamond kabebwa na AKA kwenye huo wimbo na video pia kuweni wa kweli.Mkuu Lupela haiwezi hata kuinusa hii make me sing ni video kali kiukweli imechangamka ina ladha tofauti ukilinganisha na hii ya kiba.
Kila mtu na mtazamo tofauti sio unachopenda ww wote wakipende badilikaKisa nimeandika ukweli unaoumiza moyo wako na wangu
I will make you sing beibeehShhhhhh make me sing
Ni kwamba video ina Diamond na AKA ila idea sio mpya, wameshafanya wengine kwa idea hiyo ya bank robbery, wanawake na making it rain. Nothing new in terms of idea.Mkuu Lupela haiwezi hata kuinusa hii make me sing ni video kali kiukweli imechangamka ina ladha tofauti ukilinganisha na hii ya kiba.
diamondi unamkosoa kwa lipi kwa mfano bossHazijapita siku nyingi toka Alikiba atoe video na audio ya Lupela, nyuzi nyingi zilianzishwa kuponda kazi yake na wengi wakisisitiza kwamba video ni mbaya!!
Sasa leo baada ya kutoka video ya Diamond na AKA, kila anayeenda tofauti na mitazamo yao na kukosoa video eti anaitwa hater! Mara hawapendi maendeleo ya Mtanzania mwenzao na upuuzi mwingine mwingi!!
Hivi hawa watu wao wanampenda Kiba na kutaka kuona anafika mbali? Wanachokifanya siyo chuki kama wanachohubiri dhidi ya watu wanaokosoa kazi za Diamond?? Inawezekana kweli kazi zote za kiba zikawa mbaya kwao? Au ndiyo hiki kinachoitwa ushabiki maandazi?
Huu ni mtazamo wako au ulienda kusomea kuhusu video na audio nzuri? Au ni suala la HD lakuchanganya? Au ni suala la mtanzania wa kwanza kufanya video yenye bank robbery?Ukweli Ni kwamba Wimbo wa Kiba Ni mzuri sana Ila video chafu, Wakati wimbo wa Diamond Ni mbaya Ila video Quality!! Yaani kwa lugha nyingine Kiba kapotezwa na producer wake wa video Wakati Diamond kabebwa na Producer wake wa Video.. AU tuseme tena hivi;
Ikiwa wote wawili wangeenda kufanya video kwa huyu Producer aliefanya wimbo wa Diamond basi wimbo wa Lupela ungeenda zaidi..
Ila Diamond Ni mjanja, wimbo wa kawaida sana Ila kamshirikisha AKA means tayari wimbo una mashabiki wa Tz na SA of which Ni advantage KUBWA...
Ushauri wangu kwa Kiba na Team yako yote Anzia kina Nifah mpaka kina Heaven Sent, Mwambieni Alikiba Kua afanye Mziki wake yeye as yeye, tutamuelewa zaidi, asishindane na mtu, ataenda mbali zaidi, akifanya Mziki under tension anaharibu sana, halafu shida nyingine aliyonayo Ni hasira na dharau. Kuimba na R.Kelly sio kwamba wewe Ndio unajua sana, Ni kiasi cha Time Factor tu..
Kiba na mkubali sana Ila Kiba huyu wa Sasa sio Kiba Yule wa Cinderela na Macmuga!! Atulize wenge kwanza.. Asishindane na Diamond kwanza., Atampanikisha tu.. Stand on your own music bro.. U can do it..
Hazijapita siku nyingi toka Alikiba atoe video na audio ya Lupela, nyuzi nyingi zilianzishwa kuponda kazi yake na wengi wakisisitiza kwamba video ni mbaya!!
Sasa leo baada ya kutoka video ya Diamond na AKA, kila anayeenda tofauti na mitazamo yao na kukosoa video eti anaitwa hater! Mara hawapendi maendeleo ya Mtanzania mwenzao na upuuzi mwingine mwingi!!
Hivi hawa watu wao wanampenda Kiba na kutaka kuona anafika mbali? Wanachokifanya siyo chuki kama wanachohubiri dhidi ya watu wanaokosoa kazi za Diamond?? Inawezekana kweli kazi zote za kiba zikawa mbaya kwao? Au ndiyo hiki kinachoitwa ushabiki maandazi?
Darasa la lupelajamaa kaanza kufulia kuimba nyimbo hazina mvuto tena kisa alitegemea makolabo kolabo, ushauri wa bure amwone K 4 REAL ampe darasa
we ndo wasema bt Africa as whole inasema kinyume chake now...subir tu impact utaiyona soon zaidi ya Akudo...na huu wimbo ni wa wote si wa diamond peke yake,so hata linapokuja suala la idea ya how to sing and the scenes of video ni lazima washirikiane katika ilo na mwisho wakubaliane...na icho ulichokiona ndicho walichokubaliana,Mondi kaipamba sana hii ngoma km utaisikiliza vizuri!na video japo wengi walishafanya za hivi lkn hii haiondoi uzuri wake na hizi ndo video za kijanja na ndo maana zinabang sana duniani.Hii track ya Diamond ni ya kawaida na sijaona impact ya kumshirikisha AKA while ameimba badala ya Kurap.Sometimes kufanya collabo inabidi uangalie msanii ambaye mta-match nae.Mfano
Diamond +Davido
Diamond +Flava
JMakini +AKA