Johnny Impact
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 5,502
- 9,070
Kylin ni copy ya Linux, hapo bado hawajagundua. Ni sawa na kuchukua Android OS halafu ukai-modify ukaita Tigi android OS halafu ukasema ni tofauti na android wakati zinatumia application za androidTuko dunia ya innovation mkuu
Unewahi kutumia computer yenye OS ya Kylin?
Kylin wana int'l intellectual property rights nothing copied from Linux
Kylin ilitengenezwa na China National University of Defense Technology
Kylin - the operating system of the Tianhe-1 supercomputer is 64-bit Kylin Linux.
Linux, computer operating system created in the early 1990s by Finnish software engineer Linus Torvalds and the Free Software Foundation (FSF). While still a student at the University of Helsinki, Torvalds started developing Linux to create a system similar to MINIX, a UNIX operating system.
Hapo kwenye Linux kuna Ubuntu, kali na ndugu zake wengine. Kwahiyo mchina bado hajagundua ila kamodify kutoka kwa Linux OS ndiyo maana inaitwa Kylin LINUX.
Nataka OS ambayo mchina kavumbua bila kucopy kutoka kwenye OS zingine.
Mfano. angalia hizi os za kipekee
- Android by Google
- Windows operating system unawakuta Microsoft nao ndiyo waanzilishi
- Windows phone
- Blackberry OS
- iPhone Operating system
- Nokia Symbian operating system