kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 7,452
- 10,785
Sio biashara kichaa, hiyo pesa angeiweka benki faida yake ni ndogo sana. Piga laki kwa siku, kwa mwaka ni ngapi? Omaba tu mikosi ipite pembeni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahahaPesa yake haikurudi,dereva alimpata mwehu
Kuna mshua ana malori anaweza kuwa kijiweni na wenzie mara dereva wake anatokea kwa mbali kwa miguu mzee anaanza kutukana 'we ms@@@@nge mwanaharamu k@@@@@@yo ishia huko huko usiniletee balaa! Ha ha ha ha. Lakini kuna watu wanaimudu hii biashara acha tu. Kuna majirani zangu Wapemba huwa nawaoana nje ya nyumba yao yenye uwanja mkuuuuuubwa wanacheza draft huwa najiuliza na kihererehere changu hawa vipi hawachoki kukaa. siku moja jumapili napita hapo kwao geti liko wazi niliona Nissan Civilian 8, yes nane zinafanyiwa service, daladala na zote ziko kwenye hali nzuri. Sasa wacha sisi tuendelee kusema hii biashra haifai. Hata mimi hii biashara sitaki hata kuiskia.
Ni kweli kabisa. Biashara nyingi za maskini ni uchuuzi.Vile mtu afikiriavyo moyoni mwake, Ndivyo alivyo!
Hata zile tata na eicher hazifiki huko ni ml 65- 70 tena kipindi kile mtu akinunua moja kwa cash wanampa nyingine kwa mkopoHii ni biashara nyingine kichaa yaani unawekeza milion 100 Kwa ajili ya laki 1 Kwa siku na hiyo pesa unalipata kkwa mbinde na siku nyingine utaletewa mpaka elfu 50.
Aisee huyu mtu anaakili timamu kweli yaani mwaka unaisha hata nusu ya Bei alionunulia kicosta chake haijarudi yaani hapo bado hata ajali haijapata ambapo inaweza kupata mzinga ukaambulia skrepa aisee mtu mweusi anasafari ndefu Sana ya utajiri duniani.
We tata mpya bila 110 upatiHata zile tata na eicher hazifiki huko ni ml 65- 70 tena kipindi kile mtu akinunua moja kwa cash wanampa nyingine kwa mkopo
Kwa sasa Tata inacheza bei gani?We tata mpya bila 110 upati
2015 Tata Marcopolo mpya ilikuwa 96.mil. Hiyo ya mil.70 labda ni used ambayo haijatumika sana.Hata zile tata na eicher hazifiki huko ni ml 65- 70 tena kipindi kile mtu akinunua moja kwa cash wanampa nyingine kwa mkopo
Una hoja lakini pia kwa upande mwingine sikubaliani na wewe.Hii ni biashara nyingine kichaa yaani unawekeza milion 100 Kwa ajili ya laki 1 Kwa siku na hiyo pesa unalipata kkwa mbinde na siku nyingine utaletewa mpaka elfu 50.
Aisee huyu mtu anaakili timamu kweli yaani mwaka unaisha hata nusu ya Bei alionunulia kicosta chake haijarudi yaani hapo bado hata ajali haijapata ambapo inaweza kupata mzinga ukaambulia skrepa aisee mtu mweusi anasafari ndefu Sana ya utajiri duniani.
Moja HiyoCosta gani million 100?
2 au moja
Kama kuelewa ataelewa.fatilia vizuri hii biashara mkuu, usije na hesabu za juu juu.
wengi wanaofanya daladala ya kuingiza 100k kwa siku hawanunui hiyo bei. wengi wanakimbilia nissan civilian 55M hadi 60M. aliyejiongeza atatoa 70M apate ile old na hesabu kwa gari mpya 130 hadi 150k inategemea na route.
wanaonunua hizo za M100 wanafanya special hire ama tlb ya kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine na hesabu zake zinavuka 200k kutegemea na route.
ukija njoo na unachokifaham usije na maneno ya kuambiwa utakatisha watu tamaa wanaotaka kuwekeza kwenye hii biashara.