Akili gani hii mtu ananunua costa milion 100 kwa ajili ya kupewa laki 1 kwa siku

Sio biashara kichaa, hiyo pesa angeiweka benki faida yake ni ndogo sana. Piga laki kwa siku, kwa mwaka ni ngapi? Omaba tu mikosi ipite pembeni.
 
Wewe hebu tuambie wafanye biashara gani? Managed mara pikipiki ooh mara bajaji. Tuambie wewe wawekeze wapi pesa zao?
 
Biashara ni kwa wenywe akili tu

Biashara Lengo lake kubwa ni kufanya pesa isipotee Lakin iwe inazaa

Wewe mwenye Milion 100

Ambae ujawekeza na alie wekeza baada ya iyo miaka miwili yeye atakuwa anakitu ww huna
 


Kwakweli siri ya kata aijuaye mtungi...
Kuna watu wanastamina ya kukimbizana usiku kucha kukaba biashara ili ilete faida aliyokusudia.

Aahahahaa nimechekaa, ama tujaribu biashara ya bodaboda tushirikiane kumbana dereva tukiwa wawili hawezi kutuchezea, bodaboda nayo inalipa...😜.
 
Mleta mada 8ns roho ya kichawi kutea kuhangaika na biashara za watu hangaika na za kwako
 
Hata zile tata na eicher hazifiki huko ni ml 65- 70 tena kipindi kile mtu akinunua moja kwa cash wanampa nyingine kwa mkopo
 
Hata zile tata na eicher hazifiki huko ni ml 65- 70 tena kipindi kile mtu akinunua moja kwa cash wanampa nyingine kwa mkopo
2015 Tata Marcopolo mpya ilikuwa 96.mil. Hiyo ya mil.70 labda ni used ambayo haijatumika sana.
 
Una hoja lakini pia kwa upande mwingine sikubaliani na wewe.

Nionavyo mimi, mafanikio ya muda mrefu ya biashara hayategemei biashara unayoifanya yatategemea uwezo wa muendeshaji(imagination power). Mtu mwenye maono na biashara yake huwezi mlinganisha na mtu anayeifanya kwa kuiga mafanikio ya mwingine.
 
Kama kuelewa ataelewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…