amshapopo
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 1,834
- 4,161
Habari,
Nikiri kwa kusema yote yasemwayo kwa sasa yana asilimia kubwa ya uongo kuliko uhalisia. Na shida kubwa ni kutafuta neutrality ili watu waone mtu wao waliyemkubali na kumpenda alikuwa muuaji na katili.
Tujiulize JPM amefariki 2021 why now kwamba alikuwa mkatili na mengineyo.
Mwisho, za kuambiwa changanya na zako.
Nikiri kwa kusema yote yasemwayo kwa sasa yana asilimia kubwa ya uongo kuliko uhalisia. Na shida kubwa ni kutafuta neutrality ili watu waone mtu wao waliyemkubali na kumpenda alikuwa muuaji na katili.
Tujiulize JPM amefariki 2021 why now kwamba alikuwa mkatili na mengineyo.
Mwisho, za kuambiwa changanya na zako.