Akili inaniambia yote yanatokea sababu hawana sera za kumuuza MAMA 2025. Za kuambiwa changanya na zako!

Akili inaniambia yote yanatokea sababu hawana sera za kumuuza MAMA 2025. Za kuambiwa changanya na zako!

amshapopo

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2014
Posts
1,834
Reaction score
4,161
Habari,

Nikiri kwa kusema yote yasemwayo kwa sasa yana asilimia kubwa ya uongo kuliko uhalisia. Na shida kubwa ni kutafuta neutrality ili watu waone mtu wao waliyemkubali na kumpenda alikuwa muuaji na katili.

Tujiulize JPM amefariki 2021 why now kwamba alikuwa mkatili na mengineyo.

Mwisho, za kuambiwa changanya na zako.
 
2025, hamna walichofanya tangu 2021 zaidi ya kuizamisha nchi kwenye deni kubwa lisilomithilika...angalau chizimkazi kule wanasema "mama anakuenzi kwao kwa gharama za watanganyika"

Na si ajabu bajeti ya kumchafua Magu ni mabilioni, kama ile iliyotumika kuhalalisha DPW, akina chawa wakafikishwa mpaka Dubenga!
 
Habari,

Nikiri kwa kusema yote yasemwayo kwa sasa yana asilimia kubwa ya uongo kuliko uhalisia. Na shida kubwa ni kutafuta neutrality ili watu waone mtu wao waliyemkubali na kumpenda alikuwa muuaji na katili.

Tujiulize JPM amefariki 2021 why now kwamba alikuwa mkatili na mengineyo.

Mwisho, za kuambiwa changanya na zako.
oil chafu haiwezi kuchafuliwa
 
Habari,

Nikiri kwa kusema yote yasemwayo kwa sasa yana asilimia kubwa ya uongo kuliko uhalisia. Na shida kubwa ni kutafuta neutrality ili watu waone mtu wao waliyemkubali na kumpenda alikuwa muuaji na katili.

Tujiulize JPM amefariki 2021 why now kwamba alikuwa mkatili na mengineyo.

Mwisho, za kuambiwa changanya na zako.

JPM hana lolote la kufanya na huu uchaguzi. Kujaribu kumchafua marehemu hakutamsaidia anayeishi. Haijawahi kutokea na haitakaa kutokea.

Uchaguzi wa mwaka huu ni CCM dhidi ya CCM. Waache waumane. Wajinga waendelee kufikiria JPM
 
2025, hamna walichofanya tangu 2021 zaidi ya kuizamisha nchi kwenye deni kubwa lisilomithilika...angalau chizimkazi kule wanasema "mama anakuenzi kwao kwa gharama za watanganyika"

Na si ajabu bajeti ya kumchafua Magu ni mabilioni, kama ile iliyotumika kuhalalisha DPW, akina chawa wakafikishwa mpaka Dubenga!
Kweli kabisa
 
Habari,

Nikiri kwa kusema yote yasemwayo kwa sasa yana asilimia kubwa ya uongo kuliko uhalisia. Na shida kubwa ni kutafuta neutrality ili watu waone mtu wao waliyemkubali na kumpenda alikuwa muuaji na katili.

Tujiulize JPM amefariki 2021 why now kwamba alikuwa mkatili na mengineyo.

Mwisho, za kuambiwa changanya na zako.
Mbona 2021 hiyo hiyo kuna kitabu kilizinduliwa kuonyesha ukatili wa JPM.
 
Nikiri kwa kusema yote yasemwayo kwa sasa yana asilimia kubwa ya uongo kuliko uhalisia
Kama ni uongo je ukweli ni upi? Saanane yuko wapi? Aliyempiga Lissu ni nani? Kama serikali imeshindwa kuwataja basi Acha Kabendera awataje.
 
Habari,

Nikiri kwa kusema yote yasemwayo kwa sasa yana asilimia kubwa ya uongo kuliko uhalisia. Na shida kubwa ni kutafuta neutrality ili watu waone mtu wao waliyemkubali na kumpenda alikuwa muuaji na katili.

Tujiulize JPM amefariki 2021 why now kwamba alikuwa mkatili na mengineyo.

Mwisho, za kuambiwa changanya na zako.
Kwa mfano wewe unadhani sera gani zimekosekana za kumuuza Samia?

Wafuasi wa Mwendazake mnahangaika sana
 
Mkakati wao ni kuwapumbaza wananchi wananchi wasihoji rekodi yaona hizi hekaya za abunuwasi.

Huyu wanayemtukana angekuwa hai hii miaka minne hadi 2025 hii nchi ingekuwa mbali sana.

Kila kitu kimewashinda, umeme, maji, uwajibikaji, nidhamu, SGR, kumalizia bwawa la umeme, kulinda rasilimali za taifa, kuthibiti mfumuko wa bei, wamebaki kutunga vitu na kutumia vyama pinzani, machawa kuwahadaa wananchi.
 
2025, hamna walichofanya tangu 2021 zaidi ya kuizamisha nchi kwenye deni kubwa lisilomithilika...angalau chizimkazi kule wanasema "mama anakuenzi kwao kwa gharama za watanganyika"

Na si ajabu bajeti ya kumchafua Magu ni mabilioni, kama ile iliyotumika kuhalalisha DPW, akina chawa wakafikishwa mpaka Dubenga!
Uzuri haya mambo ya kabendera au kibendera yako humu JF na X tu basi.

Mtaani hakuna anayejua haya, wanaona ugumu tu wa maisha basi
 
Kupambana na marehemu inahitaji mtu kuwa punguani kidogo.
Uongowao wamaneno unaumbuliwa na matendo yake mema yaliyotukuka ambayo yana direct impact kwawatanzania wote.

SGR, Umeme, Flights, Magufu Bridge, flyovers NK,NK.

Hivyo vitu na vingine vingi ambavyo alivifanya vinaprove uwezo wa haliya juu wa rais alie kuwa anafikiri kizalendo.

Matendo yanaongea kuliko maneno!.



Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Mkakati wao ni kuwapumbaza wananchi wananchi wasihoji rekodi yaona hizi hekaya za abunuwasi.

Huyu wanayemtukana angekuwa hai hii miaka minne hadi 2025 hii nchi ingekuwa mbali sana.

Kila kitu kimewashinda, umeme, maji, uwajibikaji, nidhamu, SGR, kumalizia bwawa la umeme, kulinda rasilimali za taifa, kuthibiti mfumuko wa bei, wamebaki kutunga vitu na kutumia vyama pinzani, machawa kuwahadaa wananchi.
Wafuasi wa Mwendazake mnahangaika sana 🤣🤣

Mtu katoa kitabu Kwa yaliyomsibu mnaanza kuleta ujinga kisa ameandika msiyopenda ila mliyafanya 🤣🤣
 
Mwendazake ni CCM na Mama Ni CCM shida iko wapi ??!
Labda shida itatokea upande ule wa watu wa mujini !
Na kwanza shida wala siioni kwa sababu hiyo shida wala siioni 😂😂😅!👍
Locuta causa finita !!
 
Wafuasi wa Mwendazake mnahangaika sana 🤣🤣

Mtu katoa kitabu Kwa yaliyomsibu mnaanza kuleta ujinga kisa ameandika msiyopenda ila mliyafanya 🤣🤣
Kwa akili zako kazi ya usalama wa taifa ni Nini? Hadi waruhusu raisi et akatake kumbaka Vice😂😂😂. Wanawake wengi wazuri akaangaike na bibi kizee yule😂😂😂
 
Hadi waruhusu raisi et akatake kumbaka Vice😂😂😂.
Kama waliruhusu katibu wa Rais kikwete achukue mabilion ya fedha za Tegeta Escrow kwenye sandarusi ndio watashindwa kuzuia hayo mengine? Hao TISS mbona waliruhusu makotena ya makinikia yasafirishwe? Unadhani ni smart ni vilaza tu waliopewa vyeo.
Hadi waruhusu raisi et akatake kumbaka Vice😂😂😂. Wanawake wengi wazuri akaangaike na bibi kizee yule😂😂😂
Mbona Clinton alikua anamkula secretary wake? Kwani alikosa warembo huko mtaani? Au mbona watu hubaka mahousegirl tena wachafu chafu wakati huko nje kuna pisi kali? Ukiwa kwenye influence ya alcohol unaweza fanya chochote mbele yako
 
Back
Top Bottom