Suluhisho la kudumu ni kufuta hili jukwaa la habari na siasa za Kenya. La sivyo itabidi tu uchague kati ya kukubali, kuvumilia au kuumia kwasababu ya mada kama hizi.Hivi huko kwenu hamna majukwaa ya kupost huu upotolo hadi mtuletee sisi?
What are these? π π πni jambo jema ila hata huku pia wapo.
Hivi hamna vijana kama hawa Tanzania ama Wanasiasa pia huko ni wezi?I assure you these tallents will just get lost.
Zile pesa za Covid 19 wanasiasa wa Kenya wameiba wangewapa hawa Vijana hata 0.05% wangefanya makubwa zaidi.
umetizama,au ni mbali na WIFI uko[emoji23][emoji23].What are these? [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nimetazama ila sioni jinsi hii itasaidia uchumi duni wa Tanzania.umetizama,au ni mbali na WIFI uko[emoji23][emoji23].
[emoji1][emoji1]najua ulikuwa hujui,kwamba ni vitu vya kawaida.Nimetazama ila sioni jinsi hii itasaidia uchumi duni wa Tanzania.
siku ukiona mada inahusu vijana wa Tz nawe uje useme lako, leo tunazungumzia hawa wa huko kwenu..Hivi hamna vijana kama hawa Tanzania ama Wanasiasa pia huko ni wezi?
Acha kukwepa swali.siku ukiona mada inahusu vijana wa Tz nawe uje useme lako, leo tunazungumzia hawa wa huko kwenu..