Akili kubwa kuhusu Diamond Platnumz Vs Ali Kiba

Akili kubwa kuhusu Diamond Platnumz Vs Ali Kiba

Mi Baby kwenye msambwanga, Siendagi ngenge ni nganganga
 
Hata kiba akiona sifa anazopewa tofauti na sauti anawacheka sana na wanampa cfa ambazo hana hamjui kuwa mnamdhalilisha mwenzake anarundika tuzo za kimataifa yy anarundika majungu kuweni basi
 
Mi Baby kwenye msambwanga, Siendagi ngenge ni nganganga
 
Huwa nacheka mashabiki wa Ali Kiba wanapomlink na R. Kelly, jamani ile ilikuwa ni project na wala sio juhudi za Kiba. Mbona wasanii wengi tu Afrika walikuwa kwenye hiyo project?

Tunataka tuone Kiba kasimama mwenyewe na kufanya project na msanii mkubwa walau hata wa afrika, muache kusafiria project ya One8.
 
Alikiba angekuwa anaitwa mwajuma kiba kweli ningekuwa namcfia kwa sauti yake ila mwanaume then unamwita ana sauti nzuri wakati hata kimuziki ajajiandaa kabisa katuaibisha sana watanzania alivyokuwa kwenye tuzo za MAMA AWARD south afrika hata kuongea kiingereza hawezi sasa msanii gani yani kwa upande wangu namuona bado sana tena ajipange yani hata ukimshindanisha na MAN FONGO hafui dafu man fongo yupo juu zaidi ya kiba
 
Kinachomponza ali kiba ni uswahili yeye anajiona bora sana
 
Ni upuuuzi kusema alishirikishwa nyimbo ya one8 utachekwa ile ilikua ni airtel project na hakuwa kibakuli kutoka africa walikua kibao kina fallyipupa amani navio 2face nk..
Itabaki hivo hivo kua alishiriki time will tell.
 
9. Diamond anajijua cyo mwanamzik Bali ni msanii ivo anatumia kila awezalo kujibrand (swaga, kucheza na kuburudisha kwa ujumla etc) Alikiba anajijua ni mwanamzik hivyo haoni umuhim wa kufanya hayo kivile ili kujibrand anaamin Juu ya saut take tu!
"Diamond ni msanii, Kiba ni mwanamziki"... kwani diamomd ni mchonga vinyago au mwanamaigizo?

hii kauli naona inatumika sana humu jf,ila watu hawajawahi kututofautishia kinachomfanya diamond yeye kuwa msanii na sio mwanamziki na wakati huo huo kiba kuwa mwanamziki na sio msanii...watu mnashindwa kuelewa kuwa neno Sanaa ni neno pana ambalo ndani yake linazaa vipera vyake au tunaita tanzu za sanaa...sasa nenda kasome hizo tanzu za sanaa halafu uje utuambie Kiba anaingia wapi na Mondi anaingia wapi kwa usahihi.
 
"Diamond ni msanii, Kiba ni mwanamziki"... kwani diamomd ni mchonga vinyago au mwanamaigizo?

hii kauli naona inatumika sana humu jf,ila watu hawajawahi kututofautishia kinachomfanya diamond yeye kuwa msanii na sio mwanamziki na wakati huo huo kiba kuwa mwanamziki na sio msanii...watu mnashindwa kuelewa kuwa neno Sanaa ni neno pana ambalo ndani yake linazaa vipera vyake au tunaita tanzu za sanaa...sasa nenda kasome hizo tanzu za sanaa halafu uje utuambie Kiba anaingia wapi na Mondi anaingia wapi kwa usahihi.
Tatizo walikimbia shule.Hawajui FASIHI KWA UJUMLA.
 
Diamond anapiga gitaa,ngoma na kinanda,Alikiba anasema yoooo,Diamond ni mwanamuziki na mwanasanaa aliyekamilika.
 
Next time tuhesabie mpunga na upigaji kazi na pia wanajiongezaje.
 
Diamond anajituma kimuziki na hana ufitini. Aendelee kutuwakilisha vyema Tz.
Wimbo wake wa mawazo ninaupenda mnooooo.
 
3. Diamond ni msanii Alikiba ni mwanamzik ( kumbuka mzik umo ndan ya sanaa)
Hongera kwa kulijua hilo na huenda ambalo hukulifahamu ni kwamba, ni kwavile Diamond ni Msanii ndio maana always yupo juu!

What's the difference between Artist and Musician:
answers.com : ARTIST: 'Artist' refers to any kind of creative person - singer, musician, painter, dancer, writer etc. A 'musician' is an artists who performs specifically through the medium of music. But I have to say, A musician is not an artist. An artist is what a musician becomes once they become successful and completely forget what being a musician is.

Kwamba, MSANII ni daraja la juu... mtu anaanza kuwa MWANAMUZIKI na baada ya kuwa SUCCESSFUL na kusahau kila kitu kuhusu uanamuziki; ndipo anakuwa MSANII! Huwezi kufikia daraja la usanii bila kuwa creative enough (artist trait).

I pray for Kiba one day so he becomes successful and completely forget what being a musician is and become an artist!
 
Hebu tuache unafiki, kila mtu ana sauti, hata diamond pia anasauti nzuri, na anajua pia kupangilia sauti, kuwa na sauti nzuri au mbaya ni kitu kimoja, kuweza kuitumia hiyo sauti ikutoe ni kitu kingine, diamond anafanya mziki kimataifa, na hata yeye pia anajiweka kisanii zaidi, alikiba, akubali akatae hamfikii daimondi kwa sasa, na kinachomponza alikiba kwa sasa kutaka kujikweza na kujiweka juu, badala ya kufanya kazi kwa bidii mashabiki ndiyo tumuwekee juu, daimond ana njaa na huu mziki, halidhiki, anafanya kitu kizuri ili sisi mashabiki ndio tumuweke juu, alikiba alikuwa zamani, ustaa wake ni Wa kipindi hicho siyo sasa, kwa sasa anaonekana sababu ya daimondi, ni Mtu Wa kutafuta huruma kwa mashabiki ili aonekane kama anaonewa sana, analalamika mno kama mjamzito kila wakati, akishindwa jambo lolote anaanza kumtafuta mchawi, kikubwa abadilike, kama anapewa sifa na demu wake na yeye analewa atafeli sana, na pia bado naamini daimondi anaweza kumfanya hata huyo kiba asisikike, kwa mfano kila alikiba akitoa nyimbo iwe ya kwake au kashirikishwa, basi daimondi na yeye ama atoe nyimbo yake, au ya msanii yoyote ndani ya wasafi, ukijivunia sauti hasa kwa msanii Wa kiume ni ujinga tu, kila MTU ana sauti nzuri, inategemea unaimba sauti ya ngapi. Alikiba akitaka kuwa juu amkubali daimondi, na amtafute akae naye atajifunza mengi na atafika mbali kimziki, mbona wasanii Wa nje na hasa Wa Nigeria wanamkubali daimond ? Japo ni competitor wao, ila wanamkubali, na wanafanya naye kazi, na wanamsifia popote pale? Sasa huyo kibakuli ye anajua kwenye kila nyimbo akitamka Nyoooooo, basi ndo anajua watu watamkubali ni ujinga mtupu,
Mi nadhani kwa kigezo cha sauti pekee itakuwa si sahihi muhimu ni aina ya muziki wako na vikorombwezo vingine !maana kama muziki ni sauti tu basi waimba raga mufin na dance hall music tungewapa pole maana shaba buju na wengineo wanasaut mbaya!
 
Hebu tuache unafiki, kila mtu ana sauti, hata diamond pia anasauti nzuri, na anajua pia kupangilia sauti, kuwa na sauti nzuri au mbaya ni kitu kimoja, kuweza kuitumia hiyo sauti ikutoe ni kitu kingine, diamond anafanya mziki kimataifa, na hata yeye pia anajiweka kisanii zaidi, alikiba, akubali akatae hamfikii daimondi kwa sasa, na kinachomponza alikiba kwa sasa kutaka kujikweza na kujiweka juu, badala ya kufanya kazi kwa bidii mashabiki ndiyo tumuwekee juu, daimond ana njaa na huu mziki, halidhiki, anafanya kitu kizuri ili sisi mashabiki ndio tumuweke juu, alikiba alikuwa zamani, ustaa wake ni Wa kipindi hicho siyo sasa, kwa sasa anaonekana sababu ya daimondi, ni Mtu Wa kutafuta huruma kwa mashabiki ili aonekane kama anaonewa sana, analalamika mno kama mjamzito kila wakati, akishindwa jambo lolote anaanza kumtafuta mchawi, kikubwa abadilike, kama anapewa sifa na demu wake na yeye analewa atafeli sana, na pia bado naamini daimondi anaweza kumfanya hata huyo kiba asisikike, kwa mfano kila alikiba akitoa nyimbo iwe ya kwake au kashirikishwa, basi daimondi na yeye ama atoe nyimbo yake, au ya msanii yoyote ndani ya wasafi, ukijivunia sauti hasa kwa msanii Wa kiume ni ujinga tu, kila MTU ana sauti nzuri, inategemea unaimba sauti ya ngapi. Alikiba akitaka kuwa juu amkubali daimondi, na amtafute akae naye atajifunza mengi na atafika mbali kimziki, mbona wasanii Wa nje na hasa Wa Nigeria wanamkubali daimond ? Japo ni competitor wao, ila wanamkubali, na wanafanya naye kazi, na wanamsifia popote pale? Sasa huyo kibakuli ye anajua kwenye kila nyimbo akitamka Nyoooooo, basi ndo anajua watu watamkubali ni ujinga mtupu,
UUmemaliza kila kitu......mziki unaujua pia
 
Hongera kwa kulijua hilo na huenda ambalo hukulifahamu ni kwamba, ni kwavile Diamond ni Msanii ndio maana always yupo juu!

What's the difference between Artist and Musician:
answers.com : ARTIST: 'Artist' refers to any kind of creative person - singer, musician, painter, dancer, writer etc. A 'musician' is an artists who performs specifically through the medium of music. But I have to say, A musician is not an artist. An artist is what a musician becomes once they become successful and completely forget what being a musician is.

Kwamba, MSANII ni daraja la juu... mtu anaanza kuwa MWANAMUZIKI na baada ya kuwa SUCCESSFUL na kusahau kila kitu kuhusu uanamuziki; ndipo anakuwa MSANII! Huwezi kufikia daraja la usanii bila kuwa creative enough (artist trait).

I pray for Kiba one day so he becomes successful and completely forget what being a musician is and become an artist!
Kaka mawazo yako huwa yapo very unique na kuonyesha kuwa ww ni homa huwa wanaogopa hata kuku quote.....thumb up
 
Chibu ni mtunzzi mzuri mashairi yake ni on point ila kiba hapana kwakweli mashairi yake anayajua mwenyewe
 
Hivi haya maneno diamond hana sauti nzuri yameanza lini, mbona hamkuyaongea haya kabla ya kiba kurudi upya ktk gemu eti au ni moja ya mbinu ya kumshusha mondi na kumpandisha kiba ambayo tayari ishafeli, kwa hiyo miaka ya nyuma alikuwa anaimba kwa sauti gani tofauti na ya sasa, siku zote kama ukipendi kitu sema sikipendi sio unazunguka kama dawa ya mbu ya kuchoma, usichokipenda ww usikitie hila.
Check live performance.. Uta notice Ally Kweny saut ni mzur Kuliko Diamond

Pia comment za Wajuzi wa muziki.. Wanatoa credit kwa kiba when t comes to voice.
 
Back
Top Bottom