Akili kumi za kumteka mwanaume

Muendelee kuziteka pesa vijana

Hao viumbe hawana umuhimu kivile

Ondoa K kwa mwanamke uone kama ana kitu kingine cha kukupa
 
Mhuuuu.....
 
Mie single maza nilishaolewa mara mbili nikaachika
mi siangalii hilo mi nitakuwa mume bora,baba bora yule ambae furaha ya penzi lako limejificha kwake!,yule ambae umekuwa ukiomba utunukiwe..πŸ₯°
 
Kwamba kanipa motisha ya kuzidisha, kuna mtu kaniharibu sasa naenda kuwa mwalimu.
Atakoma!

Ila namba 7 nilicheka chausingizi mimi, kila siku nina usingizi!
Duh! Kumbe, ni nani huyo katuharibia mtu huku? Lol.

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…