Wahenga wajanja sana walisema akiii ni nywele kila mtu anazake , huwakutaka kutufumbua zaidi maana mwlili una sehemu tofauti tofauti zenye nywele mfano pale , kule , pale na pale
Sasa wewe kwa akili zako na mambo yako unavoyafanya unafikiri akili zako zinareflect na nywele zipi katika mwili wako.