Uchaguzi 2020 Akili nje ya Usalama: Undeni special unity kufuatilia maudhui ya mikutano ya uchaguzi 2020

Uchaguzi 2020 Akili nje ya Usalama: Undeni special unity kufuatilia maudhui ya mikutano ya uchaguzi 2020

TumainiEl

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
6,782
Reaction score
12,716
Nawaza nje ya Box naipenda Tanzania na ipenda amani yetu na penda taifa langu na viongoz wake.

Kipenda kimepulizwa na tume ya uchaguzi na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi amesha sema sasa ruhusa watu kujinadi.

Ila nawaza ikiwa idara zetu zimejiandaaje kwa uchaguz wa mwaka huu ambao utakuwa tofauti sana na chaguz zimewahi kutokea ni uchaguzi utagubikwa na ukanda ktk kupiga kampen jambo naliona ni hatari na ndio hasa kisa cha kuandika huu uzi.

Watu wabaya wamejiandaa kiubaya wapo tayari sio kuna sera zao ila kushambulia serikal na kupuliza sumu kali ya chuki jambo idara zetu msipo jipanga mtapiga virungu watu mpaka hosp zote zijae.

Mimi naomba iundwe special task force like never before ku deal spesific ku deal na yule atakaye eneza siasa chafu kupitia mitandao au majukwaa na ktk hiki kikosi kiwe na uwezo kufika mahali hawa watu hawatoweza fika na kuhakikisha kama ni adhabu inamfikia muhusika na sio wasikilizaji.

Kule Israel walipo ona kuna aina ya uwasi ulikuwa ukishugulikia unaumiza watu wengi na kuleta chuki kwa serikali waliunda vikos kazi kuwafikia wapangaji peke yao nakuwatuliza bila jamii kujuwa nini kimetokea kwa hao watu.

Kikosi maalumu kudhibiti maudhui pitia tcra, na mamlaka nyingine ni muhimu sana maana uchaguzi wa mwaka huu wanajuwa hawana sera ila nikuchonganisha watu kiudini na kikabila hivyo aina hii ya campaign kamwe tusikubali.

Badala yakuwamwagia upupu wana nchi kwa ujinga wa mtu fulan upupu huu amwagiwe huyu msababishaji aje jukwaani anajikuna ila hawezi simulia nn kimemkuta.

Itaendelea...
 
Mara kadhaa namsikia magu anasema watu wafanye siasa za kistaarabu,Mara igp, Mara magu anarudia Tena watu waache (matusi) kwenye kampeni. Sasa naona na wewe unatilia mkazo kwamba watu wataleta chuki kwa serikali. Kuna Jambo Gani mmelihisi kiasi Mmekua waoga hivyo? Mnaogopa kivuli chenu?. Mnadhani majukwaa ya siasa Ni madhabahu ya kanisa?. Siasa zenu chafu kwa miaka 5 leo mnajistukia?
 
Nawaza nje ya Box naipenda Tanzania na ipenda amani yetu na penda taifa langu na viongoz wake.

Kipenda kimepulizwa na tume ya uchaguzi na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi amesha sema sasa ruhusa watu kujinadi.

Ila nawaza ikiwa idara zetu zimejiandaaje kwa uchaguz wa mwaka huu ambao utakuwa tofauti sana na chaguz zimewahi kutokea ni uchaguzi utagubikwa na ukanda ktk kupiga kampen jambo naliona ni hatari na ndio hasa kisa cha kuandika huu uzi.

Watu wabaya wamejiandaa kiubaya wapo tayari sio kuna sera zao ila kushambulia serikal na kupuliza sumu kali ya chuki jambo idara zetu msipo jipanga mtapiga virungu watu mpaka hosp zote zijae.

Mimi naomba iundwe special task force like never before ku deal spesific ku deal na yule atakaye eneza siasa chafu kupitia mitandao au majukwaa na ktk hiki kikosi kiwe na uwezo kufika mahali hawa watu hawatoweza fika na kuhakikisha kama ni adhabu inamfikia muhusika na sio wasikilizaji.

Kule Israel walipo ona kuna aina ya uwasi ulikuwa ukishugulikia unaumiza watu wengi na kuleta chuki kwa serikali waliunda vikos kazi kuwafikia wapangaji peke yao nakuwatuliza bila jamii kujuwa nini kimetokea kwa hao watu.

Kikosi maalumu kudhibiti maudhui pitia tcra, na mamlaka nyingine ni muhimu sana maana uchaguzi wa mwaka huu wanajuwa hawana sera ila nikuchonganisha watu kiudini na kikabila hivyo aina hii ya campaign kamwe tusikubali.

Badala yakuwamwagia upupu wana nchi kwa ujinga wa mtu fulan upupu huu amwagiwe huyu msababishaji aje jukwaani anajikuna ila hawezi simulia nn kimemkuta.
Kuwapiga spana
Itaendelea...
Wapuuzi nyie! tunaenda kuwapiga spana
Uvccm kutwa wanatukana wapinzani, na kutishia kuwaua ulikuwa wapi pimbi wewe?
 
Mleta mada chadema kwenda zako vyombo vya ulinzi na usalama havihitaji ushauri Koko kama wako mbwa wewe they know more than what you know to hell with you.Koma kujitia advisor shenzi wewe
 
Mleta mada chadema kwenda zako vyombo vya ulinzi na usalama havihitaji ushauri Koko kama wako mbwa wewe they know more than what you know to hell with you.Koma kujitia advisor shenzi wewe
Matusi ya nini tena? Heshimu mawazo yake kama anavyoheshimu ya wengine... upeo wake umefikia hapo
 
CCM tumekamilika huo ushauri wako mchaga wewe Tumainieli wapelekee wachaga wenzio.CCM hatuhitaji mbwa wewe
 
CCM tumekamilika huo ushauri wako mchaga wewe Tumainieli wapelekee wachaga wenzio.CCM hatuhitaji mbwa wewe

Umelewa vijibia pori naona unatukana tu hapa. Huyo kiazi mwenzio hapa alipo anaokoa jahazi. Mwenzio anajua hata alipo Ben saa8, wewe umewahi pewa operation gani na kamati ya roho mbaya?
 
Umeongea point nyingi sana ila wajinga wengi hawataelewa.
Watu wamejitoa ufahamu na kudhani siasa na kutengeneza ghasia ndio njia ya kuendesha kampeni, kujinadi na kuthibiti wengine wasiongee.
Sera zinatosha kuaminisha kile una nia, si uzushi, ukabila uongo na kutafuta fadhila za kigeni.
Si mabavu kuwa na vyombo vya dola kuzuia wengine kutoa mawazo yao kistaarabu. Siku hizi ukimtukana mtu hususan yuko ktk utawala unaitwa shujaa na mwanaharakati upuuzi mtupu.

Vyombo vya usalama vilinde usalama wa nchi si wa mtu wala mfumo fulani ukiwa na double standard

Sipendagi ujinga wa kivyama huku tunaharibu nchi
 
Nawaza nje ya Box naipenda Tanzania na ipenda amani yetu na penda taifa langu na viongoz wake.

Kipenda kimepulizwa na tume ya uchaguzi na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi amesha sema sasa ruhusa watu kujinadi.

Ila nawaza ikiwa idara zetu zimejiandaaje kwa uchaguz wa mwaka huu ambao utakuwa tofauti sana na chaguz zimewahi kutokea ni uchaguzi utagubikwa na ukanda ktk kupiga kampen jambo naliona ni hatari na ndio hasa kisa cha kuandika huu uzi.

Watu wabaya wamejiandaa kiubaya wapo tayari sio kuna sera zao ila kushambulia serikal na kupuliza sumu kali ya chuki jambo idara zetu msipo jipanga mtapiga virungu watu mpaka hosp zote zijae.

Mimi naomba iundwe special task force like never before ku deal spesific ku deal na yule atakaye eneza siasa chafu kupitia mitandao au majukwaa na ktk hiki kikosi kiwe na uwezo kufika mahali hawa watu hawatoweza fika na kuhakikisha kama ni adhabu inamfikia muhusika na sio wasikilizaji.

Kule Israel walipo ona kuna aina ya uwasi ulikuwa ukishugulikia unaumiza watu wengi na kuleta chuki kwa serikali waliunda vikos kazi kuwafikia wapangaji peke yao nakuwatuliza bila jamii kujuwa nini kimetokea kwa hao watu.

Kikosi maalumu kudhibiti maudhui pitia tcra, na mamlaka nyingine ni muhimu sana maana uchaguzi wa mwaka huu wanajuwa hawana sera ila nikuchonganisha watu kiudini na kikabila hivyo aina hii ya campaign kamwe tusikubali.

Badala yakuwamwagia upupu wana nchi kwa ujinga wa mtu fulan upupu huu amwagiwe huyu msababishaji aje jukwaani anajikuna ila hawezi simulia nn kimemkuta.

Itaendelea...
Ni mtanzania yupi haijui ccm ?
 
Naona umempiga spana mamluki. [emoji16][emoji16][emoji16][emoji23]
Mleta mada chadema kwenda zako vyombo vya ulinzi na usalama havihitaji ushauri Koko kama wako mbwa wewe they know more than what you know to hell with you.Koma kujitia advisor shenzi wewe
 
Kwani wewe mleta mada,umeshaunda chombo cha kumfatilia mkeo kama anatoka nje ya ndoa?
 
Nawaza nje ya Box naipenda Tanzania na ipenda amani yetu na penda taifa langu na viongoz wake.

Kipenda kimepulizwa na tume ya uchaguzi na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi amesha sema sasa ruhusa watu kujinadi.

Ila nawaza ikiwa idara zetu zimejiandaaje kwa uchaguz wa mwaka huu ambao utakuwa tofauti sana na chaguz zimewahi kutokea ni uchaguzi utagubikwa na ukanda ktk kupiga kampen jambo naliona ni hatari na ndio hasa kisa cha kuandika huu uzi.

Watu wabaya wamejiandaa kiubaya wapo tayari sio kuna sera zao ila kushambulia serikal na kupuliza sumu kali ya chuki jambo idara zetu msipo jipanga mtapiga virungu watu mpaka hosp zote zijae.

Mimi naomba iundwe special task force like never before ku deal spesific ku deal na yule atakaye eneza siasa chafu kupitia mitandao au majukwaa na ktk hiki kikosi kiwe na uwezo kufika mahali hawa watu hawatoweza fika na kuhakikisha kama ni adhabu inamfikia muhusika na sio wasikilizaji.

Kule Israel walipo ona kuna aina ya uwasi ulikuwa ukishugulikia unaumiza watu wengi na kuleta chuki kwa serikali waliunda vikos kazi kuwafikia wapangaji peke yao nakuwatuliza bila jamii kujuwa nini kimetokea kwa hao watu.

Kikosi maalumu kudhibiti maudhui pitia tcra, na mamlaka nyingine ni muhimu sana maana uchaguzi wa mwaka huu wanajuwa hawana sera ila nikuchonganisha watu kiudini na kikabila hivyo aina hii ya campaign kamwe tusikubali.

Badala yakuwamwagia upupu wana nchi kwa ujinga wa mtu fulan upupu huu amwagiwe huyu msababishaji aje jukwaani anajikuna ila hawezi simulia nn kimemkuta.

Itaendelea...
TumainE nini kinakufanya uamini kuwa uchaguzi wa mwaka huu utakuwa wa kipekee kuliko chaguzi zingine?
 
Una tumia Lugha kali sana Mkuu kuwa mstaarabu kwa kuchangia Hoja tu na sio kushambulia Makabila ya Watu na kuwa fananisha Bibadamu na Mbwa.
Amepaniki YEHODAYA kadiri siku zinavyokaribia anazidi kuwa disconnected kwenye mind.
 
Umeongea point nyingi sana ila wajinga wengi hawataelewa.
Watu wamejitoa ufahamu na kudhani siasa na kutengeneza ghasia ndio njia ya kuendesha kampeni, kujinadi na kuthibiti wengine wasiongee.
Sera zinatosha kuaminisha kile una nia, si uzushi, ukabila uongo na kutafuta fadhila za kigeni.
Si mabavu kuwa na vyombo vya dola kuzuia wengine kutoa mawazo yao kistaarabu. Siku hizi ukimtukana mtu hususan yuko ktk utawala unaitwa shujaa na mwanaharakati upuuzi mtupu.

Vyombo vya usalama vilinde usalama wa nchi si wa mtu wala mfumo fulani ukiwa na double standard

Sipendagi ujinga wa kivyama huku tunaharibu nchi
Vyombo vya usalama vimekuwa mstari wambele kutelekesa usalama.
 
Mleta mada chadema kwenda zako vyombo vya ulinzi na usalama havihitaji ushauri Koko kama wako mbwa wewe they know more than what you know to hell with you.Koma kujitia advisor shenzi wewe
Mbona mnageukana mkuu. Lumumba mwenzako akili zinaanza kumrudi. Kila mwenye akili hawezi kuunga mkono matendo ya Awamu hii ta tano.
 
Nawaza nje ya Box naipenda Tanzania na ipenda amani yetu na penda taifa langu na viongoz wake.

Kipenda kimepulizwa na tume ya uchaguzi na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi amesha sema sasa ruhusa watu kujinadi.

Ila nawaza ikiwa idara zetu zimejiandaaje kwa uchaguz wa mwaka huu ambao utakuwa tofauti sana na chaguz zimewahi kutokea ni uchaguzi utagubikwa na ukanda ktk kupiga kampen jambo naliona ni hatari na ndio hasa kisa cha kuandika huu uzi.

Watu wabaya wamejiandaa kiubaya wapo tayari sio kuna sera zao ila kushambulia serikal na kupuliza sumu kali ya chuki jambo idara zetu msipo jipanga mtapiga virungu watu mpaka hosp zote zijae.

Mimi naomba iundwe special task force like never before ku deal spesific ku deal na yule atakaye eneza siasa chafu kupitia mitandao au majukwaa na ktk hiki kikosi kiwe na uwezo kufika mahali hawa watu hawatoweza fika na kuhakikisha kama ni adhabu inamfikia muhusika na sio wasikilizaji.

Kule Israel walipo ona kuna aina ya uwasi ulikuwa ukishugulikia unaumiza watu wengi na kuleta chuki kwa serikali waliunda vikos kazi kuwafikia wapangaji peke yao nakuwatuliza bila jamii kujuwa nini kimetokea kwa hao watu.

Kikosi maalumu kudhibiti maudhui pitia tcra, na mamlaka nyingine ni muhimu sana maana uchaguzi wa mwaka huu wanajuwa hawana sera ila nikuchonganisha watu kiudini na kikabila hivyo aina hii ya campaign kamwe tusikubali.

Badala yakuwamwagia upupu wana nchi kwa ujinga wa mtu fulan upupu huu amwagiwe huyu msababishaji aje jukwaani anajikuna ila hawezi simulia nn kimemkuta.

Itaendelea...
Sasa hii hali ya ukabila na ukanda iliyoshamiri tutaionya vipi bila kuitaja??

Hatuwezi kusema matatizo hayapo kwa kuyaficha matatizo
 
Back
Top Bottom