Akili nyingi pamoja na nguvu nyingi zilizotumika katika kujibu hii tweet!!

Akili nyingi pamoja na nguvu nyingi zilizotumika katika kujibu hii tweet!!

Behaviourist

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2016
Posts
39,926
Reaction score
95,626
Kama Watanzania tungekuwa tunatumia nguvu nyingi kiasi hiki kama hizi zilizotumika kujibu hii tweet katika kufanya mambo ya msingi nina uhakika kabisa tungefanikiwa katika mambo mengi sana ikiwa ni pamoja na kutokutawaliwa na mabeberu wazawa pamoja na makaburu wazawa.
865432.jpg
09876509.jpg
 
Hizo replies tyuuuuh mie hoi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bora Trump walimfungia. Twitter imetoka kuwa mtandao wa CEO's and Academicians mpaka kuwa utopolo[emoji7]
Ukitaka kucheka sana wee zama huko haahha


Kuna kajambo , mambo, tuvijambo ,majambo [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bora Trump walimfungia. Twitter imetoka kuwa mtandao wa CEO's and Academicians mpaka kuwa utopolo😍
Na siku Twitter wakijidanganya waongeze characters, tayari inakuwa Instagram.
 
Kama Watanzania tungekuwa tunatumia nguvu nyingi kiasi hiki kama hizi zilizotumika kujibu hii tweet katika kufanya mambo ya msingi nina uhakika kabisa tungefanikiwa katika mambo mengi sana ikiwa ni pamoja na kutokutawaliwa na mabeberu wazawa pamoja na makaburu wazawa.
View attachment 1678665View attachment 1678666
Acheni kukufuru ninyi.Mnamfananishaje Mambo ya kipuuzi ya familia ya Diamond na Fumbo Hilo la Ki Mungu?.
 
Back
Top Bottom