Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Huyu Dada hana aibuKama Watanzania tungekuwa tunatumia nguvu nyingi kiasi hiki kama hizi zilizotumika kujibu hii tweet katika kufanya mambo ya msingi nina uhakika kabisa tungefanikiwa katika mambo mengi sana ikiwa ni pamoja na kutokutawaliwa na mabeberu wazawa pamoja na makaburu wazawa.
View attachment 1678665View attachment 1678666
Bora Trump walimfungia. Twitter imetoka kuwa mtandao wa CEO's and Academicians mpaka kuwa utopološTwitter kiboko sana!!!
Ukitaka kucheka sana wee zama huko haahhaBora Trump walimfungia. Twitter imetoka kuwa mtandao wa CEO's and Academicians mpaka kuwa utopolo[emoji7]
Na siku Twitter wakijidanganya waongeze characters, tayari inakuwa Instagram.Bora Trump walimfungia. Twitter imetoka kuwa mtandao wa CEO's and Academicians mpaka kuwa utopološ
Acheni kukufuru ninyi.Mnamfananishaje Mambo ya kipuuzi ya familia ya Diamond na Fumbo Hilo la Ki Mungu?.Kama Watanzania tungekuwa tunatumia nguvu nyingi kiasi hiki kama hizi zilizotumika kujibu hii tweet katika kufanya mambo ya msingi nina uhakika kabisa tungefanikiwa katika mambo mengi sana ikiwa ni pamoja na kutokutawaliwa na mabeberu wazawa pamoja na makaburu wazawa.
View attachment 1678665View attachment 1678666
Huu uhuni ndiyo unaita ni fumbo la kimungu?!Acheni kukufuru ninyi.Mnamfananishaje Mambo ya kipuuzi ya familia ya Diamond na Fumbo Hilo la Ki Mungu?.
Umenielewa Lkn?.Km umenielewa Halafu hii ndo komment yako basi nakushauri Nenda hospital kitengo cha magonjwa ya akili.Hii ni kukusaidia tu wala sina nia mbaya.Huu uhuni ndiyo unaita ni fumbo la kimungu?!
View attachment 1678970
Sasa kama kazi hamna wafanyaje? Wanaona ni bora tu wajadili hayo maujinga.Wabongo sahv hawajadili mambo ya msingi
Sahv kinachojadiliwa ni haya maujingajinga
Kuanzia mitaani maofisini mashuleni hadi kwenye mijengo Ya waheshimiwa
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app