Akili ya binadamu

Maarifa huwa hayaishi. Na wewe tukuongezee.

Kwenye ubongo unatengeneza brain cells. Kwahiyo ukiwaza brain cells zinaamshwa na mwili unaanza kufanya kazi.

Yaweza kuwa huyo dokta ali disturb hizo cells. Mfano mtu akipigwa stroke inakuwa brain cells zimekatwa hata ukiwaza kunyanyua mkono hakuna mawasiliano ya cell za ubongo na mwili.
 
Good presentation kwa karne ya 17 huu utafiti ulikuwa juu sana japo kwa uchunguzi na ugunduzi zaidi na vifaa vya kisasa zaidi mambo mengi yamewekwa wazi ikiwa ni mwendelezo wa hayo ya karne ya 17

Mungu ni fundi na anatupenda sana kushinda tunavyojipenda.

Ila kuna wapuuzi wametengeneza mfumo wa elimu kuharibu akili na ubongo wa watoto wetu. Shame on them
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…