Basi turudie wote, mi nshamaliza kurudiaHaja base wanawake wote naona hujaelewa rudia kusoma huwo uzi
Nadhani wewe ndie umegeneralize kinyume na nilichofanya. Mimi nipo specific kwa kile nilichokisema kina watu ambao wapo kwenye jamii wanakifanya na wapo wengi tu.Uzi wako ni mzuri lakini sio sana. Usipende kugeneralize. Hii ni tabia mbaya na haifai. Kwa kufanya hivyo uzi wako haujengi labda kwa wale open minded na kumbuka ni wachache. Sio kila mwanamke anapitia hizo ulizotaja japo wapo wengi. Jaribu kuheshimu baadhi ya wanawake ambao wanajitambua.
Fursa ya kufanyaje mzee? Yaani ulichosema ni sawa na kusema watu hawali ili kupambana na njaa, ila wanakula ili washibe.Kuja laki sio kwamba wana hizo mindset ulizoandika ila ni vile wanasaka fursa..
Ila changamoto yao kubwa ni kudharau mishahara wakati wao hawana hata pa kuanzia..
Kupata maalifa tu.Ulienda chuo kufanya nn?
Huyu mwamba huwa hakosei, kuna yeye na Natafuta Ajira jamaa ni vichwa sana hawa kwenye haya mambo.Kuna watu umewagusa pabaya tegemea lolote kuanzia sasa.