Akili ya Dr. Shika sio ya nchi hii, hivi unajua majina yake halisi?

Akili ya Dr. Shika sio ya nchi hii, hivi unajua majina yake halisi?

GoLang

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2017
Posts
536
Reaction score
806
Inasemekana Warusi walikuwa wakimgwaya sana Dr. Shika kwa ugenius wake na akili yake iliyokuwa na uwezo mkubwa (si bure kuna kitu walimfanyia). Dr. Shika kwa manufaa anayoyajua yeye, inaonekana pia alibadili majina yake kam ifuatavyo:

Lunyalula - Louis (Ukitamka kwa Kizungu au Kirusi cha ndani kabisa, Lunyalula ni almost Louis)

Kidola - Kid

Shika - Kaicha kama ilivyo.

Mimi nadhani kutokana na akili yake kubwa na kwa sababu Warusi ni watu wabaya sana wakikuona una akili, aliamua kujinasibisha na koo za kirusi kwa kubadilisha majina angani ili awe salama. Hata hivyo inaonekana kuna fitna walimfanyia.

Dr. Shika na Msomi Morris Sankuu ingekuwa ni hazina kubwa sana kwa Taifa hili.

NB: Dr. Shika hashikiki, kuna jamaa kaeleza kuwa akienda dukani kwake, anacheki halafu anamwagiza bidhaa ambayo haipo dukani.

Cheki hapa:



Ila sikupenda jinsi huyu polisi alivyomsema vibaya:

 
Kifupi Dr Shika pasua kichwa, hakuna anayemjua Vizuri kila mmoja anahabari nusu nusu Mambo ya kujiuliza Ni Kama ifuatavyo;
Kama Shika Hana rafiki au ndugu Kuna wakala wa mpesa alidai huwa anatoa 4500 au 3000 Swali Ni je nani huwa anamtumia?
Amepanga chumba Cha 50,000 kwa mwezi anapataje fedha za kulipia chumba kwa sababu hakuna watu wowote waliojitokeza kukiri kufanya nae kazi.
There's a lot of missing information here and probably he is a KGB mole who has decided to blow his cover for a certain unknown motive
 
Matokea ya kuipima akili kubwa mwisho wa siku unapata uzito wa kisanvu
Shika ni kiboko yao tufanye mpango ajiunge JF
 
Dr aaingie CHAUMA RUngwe ampe nafasi yakugombea urais, sisi tutampa urais ili rungwe awe waziri mkuu,
 
Love you Dr. Shika! Super IQ man, ordinary IQ inasumbuka kikujua hawawez kukuelewa. This man is another level, sema akili zikizid jamaa inakususa kwa sabab unawaza vile ambavyo asilimia kubwa haiviwazi wala kuviona
 
Huyu jamaa nmemsearch kwenye hii tovuti ni kwel ana uhusiano na hii kampun,........yeye ni president kwel
 
Huyu jamaa nmemsearch kwenye hii tovuti ni kwel ana uhusiano na hii kampun,... ni president kwel
Lancefort Ltd ni kampuni iliyosajiliwa nchini Russia miaka kadhaa iliyopita, na kwasasa haifanyi kazi kwa kipindi kirefu baada ya watendaji wake kupotea gafla kwa mazingira ya kutatanisha,
Kutoka mjini Rostov on don napokaa mpaka Moscow ni mwendo mrefu kidogo ambao ni km 1200 na zaidi, kwa mwendo wa trein ni 5hrs,
nimefika mjini moscow na kuanza kuuliza hasa legality ya kampuni hiyo ndani ya moscow na Urusi kwa ujumla, nimefanikiwa kupata maelekezo ya kukutana na Mtanzania mmoja (Elibariki Dishon) anaisha mtaa wa Tverskaya Street, ambaye kanikaribisha na kuanza kufanya uchunguzi wangu, nikaamua kwanza nipate hifadhi ndani ya hotel ya Sputnik
Baada ya kwenda kwa watanzania wanaoishi uku nimegundua huyu mzee alipata matatizo kwa kuhisiwa ni spy wa marekani, ambaye kapandikizwa kutokea Africa, na amekuwa akitaftwa na kufuatiliwa nyendo zake zote kuanzia kwenye kampuni yake na nyumbani alipokuwa anaishi,

mke wake bi Luisa Kvonkov ndo alibanwa na kueleza kwao ni Tanzania Magu, Lakini inasemekana kwamba kuna kampuni kubwa la kimarekani aidha shirika la upelelezi ambalo liko nyuma ya kampuni ya Lancefort, ndio chanzo cha kutiwa msuko suko uko alikokuwa anamiliki kampuni hiyo,

Shirika la Lancerfort limekuwa likimilika asset kubwa nchini urusi na kwingineko duniani wakati chanzo cha hela yao hakijulikani, hivyo moja kwa moja kuhisiwa ni miongoni mwa mashirika ma spy ambao wafadhiri wake ni wamarekani ambao wana uhasama wa mda mrefu na urusi,

wametelekeza mali nyingi kukiwemo na priovate jets na maghari ya thamani,

Kupitia wapelelezi wa ndani ya urusi ambao walilichunguza shirika ambalo inasemekana rais wake ni Dr Luis Shika kwa kipindi kile, waligundua mawasiliano ya karibu na baadhi ya mashirika yafuatayo AMNESTY INTERNATIONAL, CIA, FBI , HGRE, OKLE, ambayo mara nyingi huwa ni waanzilishi wa upelelezi katija nchi nyingi,

Baada ya kugundua hayo walitekwa na kuwekwa mateka na wawili kuuwawa , mmoja wapo akiwa mkenya Edward Koinange na mwingine wa siera leone Yunusu AKhbu, Na wawili kukimbilia Tanzania lakin rais wao akapelekwa hospitali baada ya kuwatoroka akiwa ameumizwa vibaya, hakutibiwa urusi alitoroshwa kinyemela mpaka mjini Dnipro Ukraine, na kutoroshewa Tanzania,
Baada ya kufika Tanzania hakuenda moja kwa moja kwao akajificha mjini Dar es salaam, (Haya ni maelezo kwa mujibu wa mtu wake wa karibu)
Baadae kutorokea Uhispania Mjini Malaga , amekaa malaga miez 8 Na kurudi Tanzania,

Mwaka 2012 wakaidhinisha malipo kutoka marekani ambayo bado yapo kwenye mlolongo wa
kukamilisha mchakato.
 
Back
Top Bottom