Inasemekana Warusi walikuwa wakimgwaya sana Dr. Shika kwa ugenius wake na akili yake iliyokuwa na uwezo mkubwa (si bure kuna kitu walimfanyia). Dr. Shika kwa manufaa anayoyajua yeye, inaonekana pia alibadili majina yake kam ifuatavyo:
Lunyalula - Louis (Ukitamka kwa Kizungu au Kirusi cha ndani kabisa, Lunyalula ni almost Louis)
Kidola - Kid
Shika - Kaicha kama ilivyo.
Mimi nadhani kutokana na akili yake kubwa na kwa sababu Warusi ni watu wabaya sana wakikuona una akili, aliamua kujinasibisha na koo za kirusi kwa kubadilisha majina angani ili awe salama. Hata hivyo inaonekana kuna fitna walimfanyia.
Dr. Shika na Msomi Morris Sankuu ingekuwa ni hazina kubwa sana kwa Taifa hili.
NB: Dr. Shika hashikiki, kuna jamaa kaeleza kuwa akienda dukani kwake, anacheki halafu anamwagiza bidhaa ambayo haipo dukani.
Cheki hapa:
Ila sikupenda jinsi huyu polisi alivyomsema vibaya:
Lunyalula - Louis (Ukitamka kwa Kizungu au Kirusi cha ndani kabisa, Lunyalula ni almost Louis)
Kidola - Kid
Shika - Kaicha kama ilivyo.
Mimi nadhani kutokana na akili yake kubwa na kwa sababu Warusi ni watu wabaya sana wakikuona una akili, aliamua kujinasibisha na koo za kirusi kwa kubadilisha majina angani ili awe salama. Hata hivyo inaonekana kuna fitna walimfanyia.
Dr. Shika na Msomi Morris Sankuu ingekuwa ni hazina kubwa sana kwa Taifa hili.
NB: Dr. Shika hashikiki, kuna jamaa kaeleza kuwa akienda dukani kwake, anacheki halafu anamwagiza bidhaa ambayo haipo dukani.
Cheki hapa:
Ila sikupenda jinsi huyu polisi alivyomsema vibaya: